TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Y4 | Z0Mkeka huu hapa...
Y 3 | Z 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Y4 | Z0Mkeka huu hapa...
Y 3 | Z 1
Ukifika mda wa game sishiki simu na angalia dakika 90 baadae narudi ku komenti mimi sio kama wewe unasikiliza mpira redioni alf unakuja kuanzisha ubishiMlivyopata bao la kuongoza ulikuwa ni kocha au mchezaji?
Hapana angalia walioniquote mwanzo kbsUme edit
Umeamini Sasa..4 bila46 minutes ago! Ngapi ngapi mkuu
"Uti" ni synonymous na Uto, ndala, au yangaUti tena kivipi?
Mechi ya marudio usikose kuja kuwashangilia ili wapindue meza kibabe.Kinachowaangusha zalan ni uchovu maana wamefika jana usiku saa 6 na leo wanakipiga ila wana team nzuri sana wale jamaa mechi ya pili itakuwa wameshapoa na uchovu hapo ndo kutakuwa na mpira.
Dadeq
Na nyinyi mlichochoshwa na nini?Kinachowaangusha zalan ni uchovu maana wamefika jana usiku saa 6 na leo wanakipiga ila wana team nzuri sana wale jamaa mechi ya pili itakuwa wameshapoa na uchovu hapo ndo kutakuwa na mpira.
Hata kwenye ngao ya jamii au ile mechi mliyocheza na KMC juzi juzi zote mlitangulia nyie kushindaWanazingua sana hawa mi nilitegemea kuwaona wao wakiwa wakwanza kupata goli kuliko Simba
Kwa hiyo zile comments zako muda mfupi baada ya kupata bao la kuongoza zilisababishwa na tatizo la tecno kujiminya yenyewe?Ukifika mda wa game sishiki simu na angalia dakika 90 baadae narudi ku komenti mimi sio kama wewe unasikiliza mpira redioni alf unakuja kuanzisha ubishi
[emoji23][emoji23]
Una wenge sana! vipi Matola mitano tena au asepe?Kwa hiyo zile comments zako muda mfupi baada ya kupata bao la kuongoza zilisababishwa na tatizo la tecno kujiminya yenyewe?
Acha maneno mengi😂😂 jibu tuwaitie hao?Mie mbona mshabiki wa mpira sio wa timu
😂😂 mshenga mwenyewe hawezi kazi, hadi leo hajafanikisha mchongo, nimemuachisha kazi mzabzabWatakutoa roho fambaf zako🤣🤣🤣
financial services njoo umuonye dalali wako huku😆
Mechi tatu tu uto alishakula magoli 15 mfumo ukiwa 6 , 5, 4 .Kwahiyo vibonde kama hao 10 zingefika.Tuambie lini mlishinda goli 10 hata kwa timu ya stendi