Kafiri mwenyewe...Hakika mpira ni mchezo wa kikafiri, na wote washirikio wako kinyume na allah. Enyi makafir, ziachen hizo shirk mpate kuepuka hukum ya mola wetu siku ya kiama.
We're safeCorner kick wanapata Zambia
Kachana mkeka wangu ila sijali kabisaTanzania alipewa odd 5,wazalendo wanakula kiulaini Leo!!
Tutolee uchawi wako, nenda majukwaa ya diniHakika mpira ni mchezo wa kikafiri, na wote washirikio wako kinyume na allah. Enyi makafir, ziachen hizo shirk mpate kuepuka hukum ya mola wetu siku ya kiama.
Mhh shikilia mbupuDakika ya 90 +7
Lile kocha la kizungu lingetugharimu snNimekipenda kikosi cha stars. Yule mashauzi Samata hayupo.
Msije mkajaribu kumbembeleza