Fuel consumption ya Nissan x trail 2007/2008 ikoje?

Fuel consumption ya Nissan x trail 2007/2008 ikoje?

Ukweli ni huu.

-Nissan X-trail ni miongoni mwa magari yenye reputation mbaya zaidi kutoka kwa wamiliki wake hapa Tanzania (Kwanini? Mategemeo waliokuwanayo kabla ya kumiliki hiyo gari yamekuwa tofauti na uhalisia wake baada ya kumiliki).

-Gharama za kuimiliki hiyo gari ziko chini, lakini gharama za kuendelea kulimiliki hilo gari (service&fuel) ziko juu ukilinganisha na gari zingine zenye bei za level hiyo hiyo wakati wa kununua.

-Watu wengi waliozinunua hizo gari baada ya muda mfupi sana walitamani kuziuza, na waliofanikiwa kuziuza basi waliziuza kwa shida au kuziuza kwa bei ya chini sana.

Kwa kifupi sana ninaweza kuhitimisha kwa kusema haya kuhusu Nissan X-trail. Ni gari nzuri kimuonekano, zina nafasi kubwa ya kutosha ndani, ziko comfortable ukikaa ndani, ziko stable barabarani, ziko juu (hivyo kuna nafasi ya kutosha uvunguni, na kuruhusu kupita barabara zote bila kugonga chini kirahisi), affordable price kulinunua, lakini ziko kiasi delicate, matumizi ya wastani ya mafuta (it is not a fuel economy car!) spear zake ziko juu kiasi na zinahitaji service kubwa mara kwa mara.
 
Aseeh miaka 6 hyo Safi mkuu.... Hiyo gari yako kwa sasa lita inaenda km ngapi?
Ukishaona mtu anauliza hili swali la fuel consumption, basi ujue uchumi wake kumiliki gari uko chini (pesa ya mafuta ya kuunga unga), kwa hali hiyo na kama ndio mara yako ya kwanza unakwenda kumiliki gari, kuliko kwenda kwenye Nissan X-trail ni bora ukamiliki Toyota IST.
 
Ukishaona mtu anauliza hili swali la fuel consumption, basi ujue uchumi wake kumiliki gari uko chini (pesa ya mafuta ya kuunga unga), kwa hali hiyo na kama ndio mara yako ya kwanza unakwenda kumiliki gari, kuliko kwenda kwenye Nissan X-trail ni bora ukamiliki Toyota IST.
Hamna mkuu ,nlikuwa nauliza hvyo kupata overview mzee,kulingana na sehemu niliyopo gari za juu znahitajika kuliko IST,mfano hizo xtrail znamtindo was kuchagua wese ,ukichukua wese la magumashi ,mafuta yanaburn sana tofauti na kawaida Sasa hizo changamoto ndio nilikuwa nataka nizijue ,ila inshallah nmeshainunua ndio najionea mwenyewe
 
Ukweli ni huu.

-Nissan X-trail ni miongoni mwa magari yenye reputation mbaya zaidi kutoka kwa wamiliki wake hapa Tanzania (Kwanini? Mategemeo waliokuwanayo kabla ya kumiliki hiyo gari yamekuwa tofauti na uhalisia wake baada ya kumiliki)...
Bila shaka utakuwa Zanzibar na hujawahi kumiliki Nissan X-Trail bali unafuata ya kusimiliwa.

Kitu kilichofanya hizo gari zikose value ni mafundi, kwani hawawezi kuzitengeneza. Hizo gari hazitaki kubashiri hata kidogo.

Niliyonayo mafundi ilinikost mwanzoni lakini baada ya kugundua siri ya urembo hainisumbui tena.

Tatizo kubwa la hizi gari ni sensa. Kwahiyo inatakiwa kila ikileta shida inatakiwa kupelekea kwenye computer scans kabla ya fundi.

Kwa ulaji wa mafuta niseme inategemea na matumizi, kwani inaweza kwenda hadi km 9 kwa Lita highway
 
Kuna mwamba majuzi juzi alikuwa anahitaji nimtafutie Rav 4 old model toka show room ila tulishindwana bei. Akaja kunitumia pics za Nissan xtrail anataka aishi humo. Nikampa wazo ukiwa uko fresh financially chukua ila kama hautakuwa poa iweke hela uje kuvuta rav 4 uliyoitaka.

Jana naona ananitumia picha za gari Xtrail ipo kwake[emoji3] Mimi navunga sasa ila pale ndiyo kipimo cha kuja kujua kuwa mwamba ana deep pocket ama laah

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa kweli acheni huu ujinga wa kutishana kuwa eti xtrail iko juu kwenye upande wa maintanance,mfano spea za xtrail zinaweza kupishana 20k au 30k kwa Toyota,na Bado ukumbuke spea za Hawa Nissan znadumu kuliko Toyota...so tunapochangia tujaribu kuandika reality na sio kusikiliza ya watu
 
Hamna mkuu ,nlikuwa nauliza hvyo kupata overview mzee,kulingana na sehemu niliyopo gari za juu znahitajika kuliko IST,mfano hizo xtrail znamtindo was kuchagua wese ,ukichukua wese la magumashi ,mafuta yanaburn sana tofauti na kawaida Sasa hizo changamoto ndio nilikuwa nataka nizijue ,ila inshallah nmeshainunua ndio najionea mwenyewe
Karibu kwenye team, chakukushauri hakikisha unaweka oil sahihi na kubadilisha kwa wakati. Pili hakikisha mafundi hawatii mikono humo pale inapoleta shida. Tafuta mtu mwenye scana, ikikataa kuwaka unamuita. Ukifanya hivyo utaliza mda mrefu bila fundi
 
Karibu kwenye team, chakukushauri hakikisha unaweka oil sahihi na kubadilisha kwa wakati. Pili hakikisha mafundi hawatii mikono humo pale inapoleta shida. Tafuta mtu mwenye scana, ikikataa kuwaka unamuita. Ukifanya hivyo utaliza mda mrefu bila fundi
Shukrani mkuu,Kuna jamaa alinitangulia kununua huku ,kinachosumbua ni bush tu
 
Xtrail Modei mpya ziko kwenye utaratibu. Ni gari nzuri na hazisumbui, nunua ufurahie maisha
 
Mkuu kwa kweli acheni huu ujinga wa kutishana kuwa eti xtrail iko juu kwenye upande wa maintanance,mfano spea za xtrail zinaweza kupishana 20k au 30k kwa Toyota,na Bado ukumbuke spea za Hawa Nissan znadumu kuliko Toyota...so tunapochangia tujaribu kuandika reality na sio kusikiliza ya watu
Sawa mkuu, wanasema uhondo wa ngoma ingia ucheze, nilishacheza hii ngoma nimetoka tayari.

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
 
Ukishaona mtu anauliza hili swali la fuel consumption, basi ujue uchumi wake kumiliki gari uko chini (pesa ya mafuta ya kuunga unga), kwa hali hiyo na kama ndio mara yako ya kwanza unakwenda kumiliki gari, kuliko kwenda kwenye Nissan X-trail ni bora ukamiliki Toyota IST.
Jibu lako limekaa zaid kimtazamo binafsi na Wala haliakisi uhalisia,mteja kujua na kupewa specifications za gari ni haki binafsi pasipo kujalisha ni tajiri au maskini.

Kwenye dunia ya leo information matters,mjapani kuweka taarifa za fuel economy si mjinga,there is a common sense behind it.
 
Jibu lako limekaa zaid kimtazamo binafsi na Wala haliakisi uhalisia,mteja kujua na kupewa specifications za gari ni haki binafsi pasipo kujalisha ni tajiri au maskini.
*Kwenye dunia ya leo information matters,mjapani kuweka taarifa za fuel economy si mjinga,there is a common sense behind it.
Sahihi kabisa
 
Uongo.
Ukweli ni huu.

-Nissan X-trail ni miongoni mwa magari yenye reputation mbaya zaidi kutoka kwa wamiliki wake hapa Tanzania (Kwanini? Mategemeo waliokuwanayo kabla ya kumiliki hiyo gari yamekuwa tofauti na uhalisia wake baada ya kumiliki).

-Gharama za kuimiliki hiyo gari ziko chini, lakini gharama za kuendelea kulimiliki hilo gari (service&fuel) ziko juu ukilinganisha na gari zingine zenye bei za level hiyo hiyo wakati wa kununua...
 
Jibu lako limekaa zaid kimtazamo binafsi na Wala haliakisi uhalisia,mteja kujua na kupewa specifications za gari ni haki binafsi pasipo kujalisha ni tajiri au maskini.
*Kwenye dunia ya leo information matters,mjapani kuweka taarifa za fuel economy si mjinga,there is a common sense behind it.
Ni kweli kabisa jibu langu liko kwenye mtizamo binafsi lakini lenye kuakisi uhalisia.

Mtu yoyote makini, mwenye uchumi wa kuunga unga (uchumi wa kati!!) katika kumiliki gari, hawezi kukwepa kuuliza hilo swali la fuel consumption as a fore most important question. Na anaweza kuamua kununua au kutokununua gari fulani kwa sababu hiyo pekee. Wengi wetu tuliopo uchumi wa kati hilo linatugusa, na tupo sahihi. Kwanini?

Fikiri mtu mwenye kipato cha wastani wa laki sita kila mwezi, akajiminya kuvuta gari isiyozidi milioni 15, halafu ghafla kila siku akawa anatumia shilingi Elfu kumi (kwa mwezi laki tatu) kuhudumia mafuta tu. Hapo atatoboa?
 
Ni kweli kabisa jibu langu liko kwenye mtizamo binafsi lakini lenye kuakisi uhalisia.

Mtu yoyote makini, mwenye uchumi wa kuunga unga (uchumi wa kati!!) katika kumiliki gari, hawezi kukwepa kuuliza hilo swali la fuel consumption as a fore most important question. Na anaweza kuamua kununua au kutokununua gari fulani kwa sababu hiyo pekee. Wengi wetu tuliopo uchumi wa kati hilo linatugusa, na tupo sahihi. Kwanini?

Fikiri mtu mwenye kipato cha wastani wa laki sita kila mwezi, akajiminya kuvuta gari isiyozidi milioni 15, halafu ghafla kila siku akawa anatumia shilingi Elfu kumi (kwa mwezi laki tatu) kuhudumia mafuta tu. Hapo atatoboa?
Unataka kusema kila anayeuliza fuel economy ni maskini?does it sound?
 
Ulaji ni wa kawaida tu kulingana na ukubwa wa injini.

Mie niliinunua Yangu (Nissan X-Trail) toka 2014 ambayo ilitengenezwa 2005 na hadi sasa naitumia bila Shida yoyote ile..

Hata nikii-iuza hii ni lazima ninunue nyingine mpya kama hii hii...

Sent using Jamii Forums mobile app
Vp kuhusu maintenance costs (spea na service).
 
Back
Top Bottom