Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ukweli ni huu.
-Nissan X-trail ni miongoni mwa magari yenye reputation mbaya zaidi kutoka kwa wamiliki wake hapa Tanzania (Kwanini? Mategemeo waliokuwanayo kabla ya kumiliki hiyo gari yamekuwa tofauti na uhalisia wake baada ya kumiliki).
-Gharama za kuimiliki hiyo gari ziko chini, lakini gharama za kuendelea kulimiliki hilo gari (service&fuel) ziko juu ukilinganisha na gari zingine zenye bei za level hiyo hiyo wakati wa kununua.
-Watu wengi waliozinunua hizo gari baada ya muda mfupi sana walitamani kuziuza, na waliofanikiwa kuziuza basi waliziuza kwa shida au kuziuza kwa bei ya chini sana.
Kwa kifupi sana ninaweza kuhitimisha kwa kusema haya kuhusu Nissan X-trail. Ni gari nzuri kimuonekano, zina nafasi kubwa ya kutosha ndani, ziko comfortable ukikaa ndani, ziko stable barabarani, ziko juu (hivyo kuna nafasi ya kutosha uvunguni, na kuruhusu kupita barabara zote bila kugonga chini kirahisi), affordable price kulinunua, lakini ziko kiasi delicate, matumizi ya wastani ya mafuta (it is not a fuel economy car!) spear zake ziko juu kiasi na zinahitaji service kubwa mara kwa mara.
-Nissan X-trail ni miongoni mwa magari yenye reputation mbaya zaidi kutoka kwa wamiliki wake hapa Tanzania (Kwanini? Mategemeo waliokuwanayo kabla ya kumiliki hiyo gari yamekuwa tofauti na uhalisia wake baada ya kumiliki).
-Gharama za kuimiliki hiyo gari ziko chini, lakini gharama za kuendelea kulimiliki hilo gari (service&fuel) ziko juu ukilinganisha na gari zingine zenye bei za level hiyo hiyo wakati wa kununua.
-Watu wengi waliozinunua hizo gari baada ya muda mfupi sana walitamani kuziuza, na waliofanikiwa kuziuza basi waliziuza kwa shida au kuziuza kwa bei ya chini sana.
Kwa kifupi sana ninaweza kuhitimisha kwa kusema haya kuhusu Nissan X-trail. Ni gari nzuri kimuonekano, zina nafasi kubwa ya kutosha ndani, ziko comfortable ukikaa ndani, ziko stable barabarani, ziko juu (hivyo kuna nafasi ya kutosha uvunguni, na kuruhusu kupita barabara zote bila kugonga chini kirahisi), affordable price kulinunua, lakini ziko kiasi delicate, matumizi ya wastani ya mafuta (it is not a fuel economy car!) spear zake ziko juu kiasi na zinahitaji service kubwa mara kwa mara.