Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
laki nne ni halali kabisaa...kwa sababu hiyo shock up ni mkataba...Shock up ya Nissan Fuga nilizunguka Ilala nzima sikuipata. Baada ya siku 3 niliipata kwa taabu kwa laki 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
laki nne ni halali kabisaa...kwa sababu hiyo shock up ni mkataba...Shock up ya Nissan Fuga nilizunguka Ilala nzima sikuipata. Baada ya siku 3 niliipata kwa taabu kwa laki 4
That is Nissan hapo ni mkataba..mtu wa toyota atafunga zake za elfu 70 kama mara kumi ndiyo ile ya nissan iwe imekufa...sasa hapo fikiria mwisho wa siku nani mwenye hasara kwenye spea kati ya mmiliki wa Nissan na toyotaDuuh shok up moja laki 4? Au?
Bei ipo almost sawa na Spea za Toyota.Shock up ya Nissan Fuga nilizunguka Ilala nzima sikuipata. Baada ya siku 3 niliipata kwa taabu kwa laki 4
Shockup original za Toyota Harrier ni 1.2M.That is Nissan....hapo ni mkataba..mtu wa toyota atafunga zake za elfu 70 kama mara kumi ndiyo ile ya nissan iwe imekufa...sasa hapo fikiria mwisho wa siku nani mwenye hasara kwenye spea kati ya mmiliki wa Nissan na toyota
Kupanga Ni KuchaguaShockup original za Toyota Harrier ni 1.2M.
Kuna second grade 490K
Na third grade za 270K.
Uamuzi ni wako.
Sure, nina Nissan Skyline nilifunga shock-up kwa laki 3.5 mwaka 2014 mpaka leo nadunda Sina stressThat is Nissan hapo ni mkataba..mtu wa toyota atafunga zake za elfu 70 kama mara kumi ndiyo ile ya nissan iwe imekufa...sasa hapo fikiria mwisho wa siku nani mwenye hasara kwenye spea kati ya mmiliki wa Nissan na toyota
Zaidi ya service sijawahi fanya maintenance yoyote ile...Vp kuhusu maintenance costs (spea na service).
Hiyo Rav old model inaenda ngapi mkuu?Kuna mwamba majuzi juzi alikuwa anahitaji nimtafutie Rav 4 old model toka show room ila tulishindwana bei. Akaja kunitumia pics za Nissan xtrail anataka aishi humo. Nikampa wazo ukiwa uko fresh financially chukua ila kama hautakuwa poa iweke hela uje kuvuta rav 4 uliyoitaka...
Shukrani umetutoa wasiwasi wengiUlaji ni wa kawaida tu kulingana na ukubwa wa injini.
Mie niliinunua Yangu (Nissan X-Trail) toka 2014 ambayo ilitengenezwa 2005 na hadi sasa naitumia bila Shida yoyote ile.
Tunatishwa mtaani kuwa Nissan Ni majangaZaidi ya service sijawahi fanya maintenance yoyote ile...
Binafsi Nissan X-trail, is my choice!
Tatizo humu JF waweza dhani members wooote wana magari..Tunatishwa mtaani kuwa Nissan Ni majanga
Uwe na Amani MkuuShukrani umetutoa wasiwasi wengi
Na wengi wanaotoa vitisho hawajawahi kumiliki gari lolote la Nissan.Tunatishwa mtaani kuwa Nissan Ni majanga
Utembelee kwenye kami tu ukiloga rough road umeharibuNa mimi nimeagiza haka 2008 XT31View attachment 1649283
Karibu katika ulimwengu wa rahaNa mimi nimeagiza haka 2008 XT31View attachment 1649283
Kiukweli hii Gari naitaman sanaZaidi ya service sijawahi fanya maintenance yoyote ile...
Binafsi Nissan X-trail, is my choice!