FULL FIGHT: Pambano kati ya Francis Ngannou vs Tyson Fury

FULL FIGHT: Pambano kati ya Francis Ngannou vs Tyson Fury

Tyson Fury ameshindikana kabisa. Japo nae Nganou anastahili pongezi maana kuanzia round ya 7 alikua anaonesha kachoka ila bado aliweza kurusha ngumi zilizomtetemesha Fury mpaka wengi tuliamini Fury anaweza kaa
Hilo pambano limeamuriwa katika mrengo wa kulinda jina la Fury, hakustahili kushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LIle bomber alilopewa na Wilder lilifanya mpaka familia ya Wilder ikaanza kushangilia wakiamini sasa Fury ndio kwisha habari lakini mwamba aliamka. Fury ni chuma haswaa
Noma sana mkuuu


Kuna Moja ya interviews yake alisema

"Alipopigwa Ile bomba alimuomba sana Yesu Kristo ampambanie ainuke
maana kwa nguvu za mwli wake asingeweza anakwambia aelewi nguvu zilitoka wapi akajikuta kainuka nakuendelea na pambano😁
 
Sikupata wasaa wa kucheki huu mtanange. Ila naona hapa Tyson Fury kala kiasi kinachokaribiana na $50 million kwa kuingia ulingoni jana!!!!!

Wakati huo, Francis Ngannou amekula zaidi ya $10 million kwa kuingia ulingoni pia. Hapo bado maokoto mengine ya PPV na kadhalika.


Fun fact, Ngannou pambano lake la mwisho UFC mwaka 2018, akitetea mkanda wake dhidi ya Cyril Gane, alikula kama $ 600,000 tuuuuu!!!!! Pia mpunga alokula jana, ni zaidi ya kipunga alokula katika mechi zake 20 za mwisho akiwa UFC.
Abakie huku kwa ajili ya mapambano ya utangulizi, franc akijifua vyema anawachapa hata kina joshua
 
Sikupata wasaa wa kucheki huu mtanange. Ila naona hapa Tyson Fury kala kiasi kinachokaribiana na $50 million kwa kuingia ulingoni jana!!!!!

Wakati huo, Francis Ngannou amekula zaidi ya $10 million kwa kuingia ulingoni pia. Hapo bado maokoto mengine ya PPV na kadhalika.


Fun fact, Ngannou pambano lake la mwisho UFC mwaka 2018, akitetea mkanda wake dhidi ya Cyril Gane, alikula kama $ 600,000 tuuuuu!!!!! Pia mpunga alokula jana, ni zaidi ya kipunga alokula katika mechi zake 20 za mwisho akiwa UFC.
Boxing inalipa sana.
 
Noma sana mkuuu


Kuna Moja ya interviews yake alisema

"Alipopigwa Ile bomba alimuomba sana Yesu Kristo ampambanie ainuke
maana kwa nguvu za mwli wake asingeweza anakwambia aelewi nguvu zilitoka wapi akajikuta kainuka nakuendelea na pambano😁
Chai
 
Back
Top Bottom