Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hilo pambano limeamuriwa katika mrengo wa kulinda jina la Fury, hakustahili kushinda.Tyson Fury ameshindikana kabisa. Japo nae Nganou anastahili pongezi maana kuanzia round ya 7 alikua anaonesha kachoka ila bado aliweza kurusha ngumi zilizomtetemesha Fury mpaka wengi tuliamini Fury anaweza kaa
Sent using Jamii Forums mobile app