Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
LioneHakuna kitu hapo.
Ww unawajua hao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LioneHakuna kitu hapo.
Katibu mkuu balaza la Mawaziri (Waziri Mkuu) Mh Musallia Mudavadi.Waziri Mkuu?
Mkiambiwa elimu bure mkasome hamtaki ona ukichoandika hapo ukiambiwa usome huwezKatibu mkuu balaza la Mawaziri (Waziri Mkuu) Mh Musallia Mudavadi.
Nimetoa kwenye thread mkuu, nimekukwaza wapi?. Ili unielimishe mwana jamii mwenzako.Mkiambiwa elimu bure mkasome hamtaki ona ukichoandika hapo ukiambiwa usome huwez
Baraza badala ya balazaNimetoa kwenye thread mkuu, nimekukwaza wapi?. Ili unielimishe mwana jamii mwenzako.
Kwamba kuna Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri na Katibu wa Baraza la Mawaziri? 😁😁😁😁Leo Sept. 27, 2022 Rais William Ruto amefanya kikao cha kwanza na Baraza la Mawaziri wa Serikali iliyopita na kisha kufanya uteuzi wa Baraza lake jipya linalojumuisha Mawaziri 21 ambao watasimamia Wizara mbalimbali.
Ruto amemteua aliyekuwa Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kuwa Mwanasheria Mkuu na Musalia Mudavadi kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri
Pia, Rais Ruto amesema Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai George Kinoti amejiuzulu na hivyo ameagiza Jeshi la Polisi kutangaza nafasi hiyo. Aidha, Rais William Ruto amemteua Japheth Koome Nchebere kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi baada ya Hillary Mutyambai kutangaza kujiuzulu.
Katiba ya Kenya inataka Mawaziri kuomba nafasi hizo kupitia Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) na kisha PSC itafanya usaili na kuwasilisha majina kwa Rais ambaye atateua anaowataka na kupeleka orodha hiyo Bungeni ili kuidhinishwa.
Hapa ni Orodha yote ya Mawaziri walioteuliwa.
1. Wizara ya Mambo ya Ndani - Prof Abraham Kindiki
2. Wizara ya Fedha - Prof. Njuguna Ndung'u
3. Jinsia na Utumishi wa Umma - Aisha Jumwa
4. Wizara ya Ulinzi - Aden Duale
5. Wizara ya Maji - Alice Wahome
6. Masuala ya Kigeni na Diaspora - Alfred Mutua
7. Biashara, Uwekezaji na Viwanda - Moses Kuria
8. Jumuiya ya Afrika Mashariki na Maendeleo ya Kikanda - Rebecca Miano
9. Barabara, Uchukuzi na Kazi za Umma - Kipchumba Murkomen
10. Mazingira na Misitu - Soipan Tuya
11. Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Miji - Zachariah Mwangi Njeru
12. Utalii, Wanyamapori na Turathi - Peninah Malonza
13. Kilimo na Maendeleo ya Mifugo - Mithika Linturi
14. Wizara ya Afya - Susan Nakumicha Wafula
15. Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidijitali - Eliud Owalo
16. Wizara ya Elimu - Ezekiel Machogu
17. Nishati na Petroli - Davis Chirchir
18. Wizara ya Vijana Michezo na Sanaa - Ababu Namwamba
19. Vyama vya ushirika na maendeleo ya MSME - Simon Chelugui
20. Wizara ya Madini, Uchumi na Masuala ya Bahari - Salim Mvurya
21. Wizara ya Kazi na Masuala ya Jamii - Florence Bore
Teuzi Nyingine:
1. Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri (Waziri Mkuu) - Musalia Mudavadi
2. Katibu wa Baraza la Mawaziri - Mercy Wanjau
3. Mwanasheria Mkuu - Justin Muturi
4. Mshauri wa Shirika la Haki za Wanawake - Harriet Chiggai
5. Mshauri wa Usalama wa Taifa - Monica Juma
===================
President William Ruto has named his cabinet on Tuesday, with ANC leader Musalia Mudavadi being appointed Prime Cabinet Secretary. Mr Mudavadi will be the most senior officer after the President and his DP Rigathi Gachagua.
Prof Kithure Kindiki has been appointed Interior Cabinet Secretary while Treasury will be headed by former CBK governor Prof Njuguna Ndung'u.
The Head of State also picked Aden Duale as Defence CS, Aisha Jumwa to Public Service and former Machakos governor Dr Alfred Mutua to head Foreign and Diaspora Affairs ministry.
The Lands docket will be headed by Zachariah Mwangi Njeru, Agriculture and Livestock Development by Mithika Linturi and Health by Susan Nakhumicha Wafula.
Dr Ruto named Alice Wahome as Water and Sanitation CS, Moses Kuria as Trade CS while the East African Community Ministry will be headed by Rebecca Miano.
The Roads, Transport and Public Works ministry will be headed by Kipchumba Murkomen while Soipan Tuya has been appointed CS of the Environment and Forestry ministry.
Ms Peninah Malonza will replace Najib Balala as Tourism CS, while Eliud Owalo has been appointed to the Communications docket.
Mr Ezekiel Machogu will replace George Magoha as Education CS as long-term Ruto ally Davis Chirchir heads to the Energy Ministry.
The Youth Affairs ministry will be headed by Mr Ababu Namwamba, Cooperatives by Simon Chelugui and Mining by Salim Mvurya. The Labour ministry will be headed by Ms Florence Bore.
President Ruto promised that other cabinet appointments will follow soon.
Other key appointments
Outgoing Cabinet Secretary for Energy and Petroleum of Kenya, Ms Monica Juma, will be retained by Dr Ruto's government as National security advisor.
Others given plum government positions include Justin Muturi who will be Kenya's next Attorney General while Mercy Wanjau has been appointed to serve as secretary to the cabinet.
NATION AFRICA
Musalia mudavadiWaziri Mkuu?
Nord stream imehujumiwa inamwaga gesi baltic wewe unabaki kuuliza uliza kwa nini?Kwa nini?
Sasa ulitaka niulizaje?Nord stream imehujumiwa inamwaga gesi baltic wewe unabaki kuuliza uliza kwa nini?
Amina.Ruto namkubali sana. Naamini ataiendesha kenya vizuri sana na kwa mafanikio makubwa. Mungu amsimamie
Hivi hii post ya Prime Cabinet Secretary aka. Prime Minister ipo kwa mujibu wa Katiba yao?Musalia mudavadi
Haipo imelazimishwa tuu hapo,Cha ajabu Ruto aliwahi kupinga hiyo nafasi wakati Kenyatta na Raila walipofanya kura ya Maoni na mahakama ikafuta ule mchakato.Hivi hii post ya Prime Cabinet Secretary aka. Prime Minister ipo kwa mujibu wa Katiba yao?
Haipo imelazimishwa tuu hapo,Cha ajabu Ruto aliwahi kupinga hiyo nafasi wakati Kenyatta na Raila walipofanya kura ya Maoni na mahakama ikafuta ule mchakato.