Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado ushahidi wanao lakini watafumba machoLuhaga sio Kwa nondo hizo
Nope. Wako wengine. Ni mazingira ya maslahi tu yamekaaje.Luhaga Mpina ndiye mbunge mwenye akili kuliko wote katika bunge la sasa .
Mbona kama wamechelewa, now we know uozo katika hiyo tasnia.Njia pekee ya kumzima ni kumuita kamati ya Maadili na kumsimamisha kushiriki vikao vya bunge
ila watanzania wameshajua nini kinaendelea. Huu uamuzi wa spika ni kama maamuzi mengine yaliyokwisha fanyika kwa kutumia ubabeNjia pekee ya kumzima ni kumuita kamati ya Maadili na kumsimamisha kushiriki vikao vya bunge
Mara 18 kwenye hotuba 1 nadhani ni rekodi ya Dunia'Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe wakati akichangia hoja ya Waziri wa Fedha kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Bungeni alisema uongo mara 18, kama ilivyoainishwa katika maelezo na ushahidi wa vielelezo' Luhaga Mpina
Nakubali shida hawa majuha watamuua au kumfanyia jambo lolote la hovyo huyu Bashe alitakiwa awe jela sa hivi kwanza sio Mtazania haya mambo ya kuchagua wabunge wakimbizi mpaka siku tuje kuuzwa wazimawazima,Unakuta majitu meusi hata kiswahili hayakijui vizuri ila Mbunge ni muhindi typically wala hana hata familia yake jimboni hapo hili nalo mpaka tupelekwe darasani!!!! Kiukweli inatia uchungu sana kuzaliwa katika jamii ya kipumbafu kama hiiLuhaga Mpina ndiye mbunge mwenye akili kuliko wote katika bunge la sasa .
Hana nia yoyote Njema Bashe na sielewi kwa nini jizi na fedhuli kama huyu anapewa wizara hivi kweli Nchi nzima hatuna vijana wazalendo mpaka tuongozwe na jitu ambalo sio mzawa???Huyu jamaa ni mwizi sana hata zile za kukusanya vijana kwa ajli ya kilimo hakuna kitu.
Yani ana maneno ambayo akiwambia wasiofuatilia mambo unakuta huku mtandaoni wanamsifu ila jamaa hana uzalendo wowote. Ukiwauliza mpaka sasa kafanya kitu gani jibu hawana.Hana nia yoyote Njema Bashe na sielewi kwa nini jizi na fedhuli kama huyu anapewa wizara hivi kweli Nchi nzima hatuna vijana wazalendo mpaka tuongozwe na jitu ambalo sio mzawa???
Kawekwa tu hapo na yeye ..mkuu wa mhimili mkubwa kama bunge anakua chawa wa mhimili wa serikali .useless stateHuu ushahidi hata asie enda shule lazima tu aelewe.
Tulia ameshindwa nini kuelewa?
Yani jengo limegeuka genge la kulinda wanyanganyi na kuwa sehemu yakeSpika amedhihirisha kwamba na yeye ana tatizo la UNYANI, anayo Apedomia.
cc Mtikila
Mbunge akikosoa au kuhoji serikali basi anazomewa na kuchekwa kwa dharau, kwakweli bunge letu ni DHAIFU.Yani jengo limegeuka genge la kulinda wanyanganyi na kuwa sehemu yake