orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Wako wengiTaarifa za ndani, kutoka jumba jeupe Hussein Bashe atakiwa kujiuzuru, lakini yeye amegoma hivyo mkeka muda wowote unatoka, pia Kinana anamkingia kifua lakini soon majibu yatapatikana.
Tuwe watulivu kipindiiki iki kigumu ambapo nchi inapita katika tanuru la moto.