Kwa jinsi ninavyoona wewe ndio unatetemeka kwani Zitto anasoma kwa ufasaha na hatetemeki.
Wewe kweli KIBOGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi ninavyoona wewe ndio unatetemeka kwani Zitto anasoma kwa ufasaha na hatetemeki.
FaizaFoxy, Ritz, MSALANI, SIMIYU YETU, jamani njooni huku mbona hatuwaoni?.
Angalia hao jamaa ambao huwajui wanaweza kukuchenjia baadaye wanadhani na wewe ulipata mgawo wa Escrow.Leo nimekaa hapa sebuleni na familia nzima. Wife, mwanagu wa miaka mi 4 shemeji, dada wa nyumbani, house boy, kijana wa jirani na kuna jamaa wawili siwajui vizuri lakini poa tu tutaulizana baada ya repoti hii bungeni!
Daaahh hii ni nchiii au uozoo watu wanakwapua ivi
Kwa hali hii litarudia hilo teziHivi rais wetu anaendeleaje na tezi dume ?,
Tangu mwanzo tulionya, hatukusikilizwa...haya sasa!
Naona huyo Mama Msipitwe ndio katambua kuwa Zitto ni hazina ya taifa.Tulia wewe Kisabengo..
Mkuu hii miela angeikwaa Haveva nazani angeenda kumleta Roony.Hivi hiyo si nusu ya bajeti ya baadhi ya wizara??
leo Werema tiatia maji jeuri ya Kikulya yote mfukoni.pambafuTumbili hawezi pona... Leo tutajua nani tumbili kati yake na kafulila...
Viwavi vya Lumumba mbona sivioni..
Acha nchecheto. Watu wanasikiliza ripoti kwanza.
Kwa hali hii litarudia hilo tezi