Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisikia CCM ikitajwa hapa?
Tunasema haponi mtu leo....
Hapa tumepigwa changa la macho... waziri mkuu kafichwa kwenye kasha.
Halafu alikuwa kinara kuwabana wafanyakazi hapo wizara ya nishati,kumbe yeye anapiga madeal ya mabilioni,wafanyakazi wanashangilia sasa hivi,Muhongo nae alikuwa anawapiga mkwara wafanyakazi kumbe na yeye ni mwizi,WIZARA YA NISHATI NA MADINI WATAKUWA WANASHANGILIA SASA HIVIKatibu mkuu Wizara anaondoka,..
Wajanja wanaila hii nchi...
Ole wako
umeona eeeeh,wakati muhimbili wagonjwa wanalala chini
Umeisikia CCM ikitajwa hapa?
Billioni 70 ilitolewa cash money, hawa jamaa ni hatari ni lazima walienda na Fuso hawa.
Hatari sana ndugu...... inatia uchungu
Halafu alikuwa kinara kuwabana wafanyakazi hapo wizara ya nishati,kumbe yeye anapiga madeal ya mabilioni,wafanyakazi wanashangilia sasa hivi,Muhongo nae alikuwa anawapiga mkwara wafanyakazi kumbe na yeye ni mwizi,WIZARA YA NISHATI NA MADINI WATAKUWA WANASHANGILIA SASA HIVI