Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Uadilifu wake haumpi nafasi kufundisha katika jamii yetu. Garbage akachunge ng'ombe
 
Maandiko yanatimia


"ukiona mateso yanazidi ujue wokovu unakaribia"
 
mbona uyu waziri muhongo na warema hawana wasiwasi au wanauhakika wanachomoka apo
 
wabongo tunatisha kweli,lumbesa na magunia yote yanasomba hela tu! wapi askofu kilaini a.k.a mzee wa 80.4m!

Kuna mzee mmoja nilikuwa nae kijiwe kimoja cha kahawa hapa samora evenue alinambia watu walienda na mabegi hayakutosha ikabidi waende na mifuko ile waitaka salifeti. Wkawa wanapakiza kwenye migari yao Kuna mmoja nasikia akipakiza kwenye pickup.
 
Back
Top Bottom