Huko aliko mume wa k lyn meno yote nje.
kesho naenda kujiandikisha kupiga kura serikali ya mitaa
Natamani kumlenga na manati kabisa! Atakua ana iga tactics za bosi wake kucheka cheka tu akifikiri tatizo litamchekea pia!
ahhh dini na biashara wapi na wapi sadaka hazitoshi tu ona sasa mnatuaibisha kanisa letu alilotuachia kristo
Hakuna cha ajabu ni ukomavu wa siasa! Hata ambaye angetoa ile speech angekua mbunge wa CCM, CHADEMA wangepiga makofi sababu hili swala ni zaidi ya chama. Its about principles!hivi na cdm wamempigia makofi zzk
Na akome kiherehere chake ana dharau sana kwa Watanzania eti tunaweza kutengeneza juice tu alinikera Sana tena ajiuzulu uwaziri
hapa watu kama komba,sugu,maji marefu hawaelewi kitu
Safari hii itakuwa tezi jike ambalo ni hatari zaidi
Mpwa mwenzio nikipitaga Masaki huwa najiuliza sana kwani mimi nakosea wapi kwenye kutafuta pesa? Maana kama kujituma najituma haswa na kama ni akili naamini ninazo za wastani sasa tatizo liko wapi?
Kumbe leo nimepata jibu, billion 70 mtu anadraw cash money!!
Kwa ajili gani ?