Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Ripoti imeandikwa kwa utaalamu sana, I hope serikali yangu ya CCM itawajiba vilivyo, ni pigo sana kwangu binafsi kama mwanaCCM ila ni ukweli usiopingika kwamba hapa wenzangu wameshikwa bila chembe ya hiana.

Ila nimesikitika kwamba kuna baadhi majina watu ya waliopata fedha hizi hayakupatika, hapa naanza kupata shaka kama ni mkuu wa kaya au vipi? mbona majina hayapo na PAC hawajaweka msisitizo kwenye hilo?
 
mmemtukana,mmemuita tumbili,na mengineyo meeengi.he mlikula ngapi name mnasemaje

shame on you!!!
 
Natamani kumlenga na manati kabisa! Atakua ana iga tactics za bosi wake kucheka cheka tu akifikiri tatizo litamchekea pia!

Tena mwanaume kujichekesha kwenye swala serious kama hili lazima tu mdauti tu si bure
 
ahhh dini na biashara wapi na wapi sadaka hazitoshi tu ona sasa mnatuaibisha kanisa letu alilotuachia kristo

Si ndio hapo,hao viongozi walafi shida sn. Sasa mihela yote hiyo ya nn na wakati huduma zote anapewa na kanisa. Waumini kutwa kuhangaika ili mapadri na maaskofu wasipate shida lkn kumbe wao hawaridhiki........duh ni hatari aisee.
 
hivi na cdm wamempigia makofi zzk
Hakuna cha ajabu ni ukomavu wa siasa! Hata ambaye angetoa ile speech angekua mbunge wa CCM, CHADEMA wangepiga makofi sababu hili swala ni zaidi ya chama. Its about principles!
Nchi imeibiwa. Wote wenye uchungu na nchi regardless ya chama lazima waunge mkono kama wana akili timamu!
 

hatari Mpwa.... mana unajitahidi kufanya kazi unapiga mishe lakin mwisho wa siku maisha bora yanakuwa kwa wachache wengine tunabakia na bora maisha
 
JF tunaomba mtupe na Pdf ya mapendekezo ya kamati pia.
 
Vumbi linatulia sasa tutaona tu aliyejo chini ni nani punda au farasi
 
Sasa wale akina lizaborn,pasco,simiyu,gsf,na wengine ambao walikuwa wanatoa ushuzi wako wapi?
 
Shiiiit##***#crazy***#&@#sina hata hela wengine wanabeba hela kwenye magunia? Dadadeki................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…