Nimepita mahali watu wametulia wanafatilia bunge.... wengine kwenye vigenge na radio wakisikiliza
Kauli ya Deo kumnukuu Kambarage ni kama anamgusa na mkulu vile....ila ndio hagusiki kwa kuwa kanchi ketu katatikisika
Mkuu kuna yale matransaction ambayo hayaonyeshi beneficiaries, hapo ndipo TAKUKURU wanapoingia kiuchunguzi na kufuatilia ili kujua hizo pesa zilienda kwa watu gani. Watatambulika tu.
Kamati ya bunge isingeweza kufika huko ama CAG naye asingefika huko. Madaraka hayo yapo kwa TAKUKURU