kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
Kwa mujibu wa taarifa ya kamati ya PAC inayoendelea kuwasilishwa bungeni jioni hii,mojawapo wa watu waliotajwa kuingiziwa fedha za escrow ni pamoja na Askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba Methodius Kilaini na Askofu msaidizi Jimbo Katoliki Dar-es-salaam Eusebius Nzigilwa.kwa hakika hii ni kashfa kubwa kwa taasisi kubwa kama Kanisa Katoliki..je wadau mnalionaje hili?