Mh Zitto - angalia na hili,
This is Money Laundering of epic proportions - na kwakuwa wavivu wa kufikiri wame wagawia viongozi na wakuu kwa formula, kama nilivyoposti huko nyuma.
Kama ingekuwa si ufisadi, amaunti zingekuwa tofauti tu. Hata kama ni rounding, kama watu walikuwa wanalipwa kwa huduma zao walizotoa, lazima malipo yangetofautiana tu. Vinginevyo huwezi kumlipa mtu bure. Ni wizi.
Mara nyingi Hela za kutakaswa huwa zinagawanywa kwa fomula fulani hivi. Embu wataalamu nihesabie ni watu wangapi wamepokea amaunti hizi hapa chini....
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Base1[/TD]
[TD]40,425,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2xBase1[/TD]
[TD]80,850,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3xBase1[/TD]
[TD]161,700,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4xBase1[/TD]
[TD]323,400,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Base2[/TD]
[TD]404,250,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2xBase2[/TD]
[TD]808,500,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3xBase2[/TD]
[TD]1,617,000,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4xBase2[/TD]
[TD]3,234,000,000.00[/TD]
[/TR]
[/TABLE]