Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Nini hatma ya muhongo na pinda kwa kulidanganya bunge... Katiba inasemaje katika hili......
 
Dinazarde sikuoni vipi ulipata mgawo ninii?
 
Last edited by a moderator:
pesa ya escrow ni ya umma kulingana na CAG, AG na commissioner of TRA
 
Watu kuwajibika!! Mpaka sasa wamo akina Muhongo, Werema, Waziri Mkuu, Naibu waziri Nishati na madini....wameshaning'inizzwa kwa kusema uongo!
 
Faiza Foxy, Msalani,gsu, Simiyu Yetu, na vilaza wengine wa Lumumba kuja kipande hii!Msisahau kumshtua East African Eagle
 
Makene unaleta ufafanuzi too late.tumechafuliwa kiasi kikubwa.Mpaka libunge likaomba muongozo wa kitoto kabisa
 
zitto kwa hili lazima arudi kwenye fomu ya kisiasa......

I like the way he speak with confidence he knows what he is doing...
 
Go go go go zito umebaki wewe na kipa golini
 
MH. muhongo namuona ameshika tama tu hapaa huku wenzake wakifuatilia report hii kwenye makaratasi waliyogawiwa wabunge.
 
Hivi unafuatilia hili balaa? Mdakuzi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…