Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Nchi leo inatikisika...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaona,,,,Vipi jamani, mliopo mjengoni mtujuze hawa maji tajwa yapo mjengoni? au wamesepa? Pinda, Muhongo, Werema,nk.
Hadi PHD YAKE ALIDANGANYA,Mwambieni awaonyeshe thesis yakeSiamini kama Mhongo ni mwongo hivi......
PAC inamwadhiri wallah
Nchi leo inatikisika...
Namna gani umeme unakatwa hapa Mwanza,
mbunge machachari wa bunge la JMT.anaendelea kuchambua ripoti ya PAC kuhusu akaunt ya tegeta escrow.kipi kitafuata baada taarifa hiyo