Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Huelewi kuwa Zitto katia nchi mkenge, malipo sasa mara mbili au zaidi.

subiri uone.

Kwa issue kama hii kusimama upande wa mafisadi inahitaji kuwa na moyo kama wa mwendawazimu. Hongera sana, Mi siwezi hata iweje.
Ova
 
Wakuu
Nimepitia ripoti ya PAC uk 63 inasomeka hivi "Tarehe 6/2/2014 Pesa Cash Shs3.3Bilis zilichukuliwa kutoka Mkombozi Benk na Siku hiyo hiyo Shs 73.3Billions Zilichukuliwa kutoka Stan Bic Benk.
Ni jambo la hatari kwa taasisi za usala kushindwa kuzuia wizi huu hata kama walikuwa wanachukua pesa zao lakini pia hata sheria za Kibenk haziruhusu jambo hili.
Swali langu kwa wadau wapenda haki , ni kwa nini PAC wametaja majina kadha ya watu waliochukua fedha kutoka Benk ya Mkombozi ambako pesa kitogo zimetoka 3.3bls lakini hawajataja hata jina moja kutoka StanBic benk ambapo zimetoka 73.3ls .
Kuna nini huko?
Je Zitto kahongwa??
Naomba mwenye majina hayo aweke hapa kwa maslahi ya umma , Sisi tujadili kwa pamoja huu ndo uzalendo!!
 
182 billion Ndiyo zilikuwa escrow, ilitakiwa ziwe 306 billion, tanesco bado hawajalipa, kodi haizidi billion 30. Hata ikikatwa 30 b Bado Serikali G

Zitto amepiga porojo tu.
u.f.i.r.w.a wwe kwenye masikio, pua na macho, kapime akili yako
 
Kaongwaje sasa naww tafuta wenzako wametafuta paka hapo kilichobak tafuta mwenyeww
 
Kanisa hawaliwezi aisee, RC ni taasisi nyingine kabisa haiwezi kuchafuliwa ni watu km kina Filikududu, mkitaka kujua hilo muulizeni Lowasa
 
Nimebakisha post 436 kuimaliza thread, daah nimeshindwa kuimaliza, but am so happy and I can see a light at the end of a dark tunnel
 
maaskofu kama kawaida yao, wamechangamkia fasta wakati wengine wakipoga mihayo....
 
Nyinyi mnasikia hiyo ripoti au mnafata ushabiki?

Jumla ya fedha zilizolipwa b182, jumla ya fedha zinazodaiwa b306, kodi inazosemekana hazijalipwa b30, bado ngapi IPTL hawajalipwa?

utakuwa anna tibaijuka..
 
Kanisa hawaliwezi aisee, RC ni taasisi nyingine kabisa haiwezi kuchafuliwa ni watu km kina Filikududu, mkitaka kujua hilo muulizeni Lowasa
Hoja ni kwa nini majina ya Benk ya Mukombozi yamewekwa hadharani lakini yale ya Stanbic yamefichwa?????
 
Kilaini ameingia kwenye kashfa sababu yeye ni Mwenyekiti wa bodi ya Mkombozi benki
 
Uwakilishaji ulikuwa mzuuri lakini kiasi cha kodi kimepunchwa; wale waliopewa hize fedha wanatakiwa kulipa kodi kwani any income attracts taxation. Aliyetoa anatakiwa kutoa withholding tax kwa TRA. Did they pay it. Na kukwepa kodi ni kosa la jinai, wote waliopokea fesha wanatakiwa kushitakiwa kwa kukwepa kodi. Je waliopewa fedha za mgao wamelipa kodi?
 
Back
Top Bottom