Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Mr.tezi dume kahusika na ndio maana mapendekezo yote ya tume hayatafanyiwa kazi.
 
hapa 2taixhia kuwajua wez 2 lakin uwezekano wakurudixha pexa ni mdogo xana na hapa bongo xheria haina meno kwa vigogo maana wanajuana hii nixawa na kesi ya ngedere halafu hakimu ni nyani unategemea ni nn kitatokea?
 
faizaFaxy gharama ya kuwabeba viongozi dhalimu gharama yake ni zaidi ya uhai wa chama na serikali

Mingoi, mpaka sasa naiona ni drama na fitna lakini sijaona haswa sheria iliyovunjwa. Usisikie zile porojo za Zitto. Ngoja kesho.
 
sasa mkuu mbona ukijumlisha hizo hela hazifikii kias kinachotajwa kuibiwa? au wale waliochukua nyingi zaid hawajatajwa
 
Tume ya warioba ililiona hili ndo maana ikaweka misimamo mikali mno ya kuwabana viongozi wa style hizi majambazi wanaotumia akili na kalamu ila ccm wamefuta vifungu hivyoo wacha tu waibee weee hukumu yao wataikuta mbinguni
 
Mkuu unachotakiwa kujua kama wakitaja hizo za stanbic nchi lazima isambaratike... huko ndo kulikua na mgao wa vigogo.

Heli vigogo wawajibike kwa dhana ya uwajibikaji kuliko kujiudhulu kwa kashfa ya rushwa... ukifukunyua huko ndiko utaikuta executive nzima... tiss,magogoni,mawaziri,mwanasheria,jwtz,pccb na taasisi nyinginezo kubwa.

Hawa akina tibaijuka wametolewa kafara ya mbuzi kwa kuhongwa na mahawala zao.
 
Breaking news
Askofu Mkuu wa Tanzania Baba mhashamu
Policapy Cardinal Pengo
Amemrejesha Askofu msaidizi wa jimbo la Kagera Methodius Kilaini Dar es salaam nakumsimamisha kujiusisha na maswala ya Kanisa kutokana na Kupokea million 80 kutoka katika Account ya Tegeta Escrow kwani nikinyume cha Kanisa Katoliki.
 
Mkuu unachotakiwa kujua kama wakitaja hizo za stanbic nchi lazima isambaratike... huko ndo kulikua na mgao wa vigogo.

Heli vigogo wawajibike kwa dhana ya uwajibikaji kuliko kujiudhulu kwa kashfa ya rushwa... ukifukunyua huko ndiko utaikuta executive nzima... tiss,magogoni,mawaziri,mwanasheria,jwtz,pccb na taasisi nyinginezo kubwa.

Hawa akina tibaijuka wametolewa kafara ya mbuzi kwa kuhongwa na mahawala zao.
Kama hawataki kutaja hayo majina basi mimi najua afichaye dhambi hatafanikiwa kabisa!!!
Ninakumbuka wakati wa Ripoti ya Mwakyembe kuna mambo alificha yakamucost sasa hapa ni lazima majina haya yawekwe hadharani hakuna jinsi
 
We umeelewa vizuri au unafuata ngoma usiyoijua?

ngoja nikusaidie, Ni hivi dada, Muhongo kaingia Wizara ya Nishati na Madini kakuta kuna mivutano isiyoisha kati ya Tanesco na IPTL, na IPTL na VIP, kabla ya mzigo wa ESCROW kutoka watu walikuwa wanapiga hela kila siku Hapo Tanesco mara body, mara vikao, mara kesi, Na wakili Mkono ndio alikuwa anapigia Pesa hapo, Muhingo kama waziri akaamua asafishe uchafu Tanesco ikiwa ni pamoja na kuzimaliza kesi zote
Na hili kuzimaliza kesi zote ilibidi IPTL na VIP wakutane, na Muhongo ndio alifacilitate hao wakutane na wamalize tofauti zao ili Tanesco iwe free

sasa hapo tatizo la Muhingo liko wapi? Katika list uliyonayo Muhongo kapiga ngapi?

Kwanini alikataa fedha hizi Si za umma.?
 
kulingana na kamati ya PAC nimeisoma hadi mwisho hamna sehemu mwanasheria mkuu, waziri wa madini, au katibu mkuu wa wizara ya madini walipewa hela sehemu yeyote

kosa lao ni kwa sababu ni viongozi wa mwisho kwa maamuzi sehemu zao za kazi

Tuzidi kuwapa nyazifa kubwa kwa sababu si wezi bali wanahitaji kujifunza mambo ya uongozi

wote hao kosa lao ni kutosoma mambo ya uongozi


Hii sio nchi ya majaribio ,hospital hazina dawa na mishahara imekuwa adimu kama maji kupatikana jangwani
 
182 billion Ndiyo zilikuwa escrow, ilitakiwa ziwe 306 billion, tanesco bado hawajalipa, kodi haizidi billion 30. Hata ikikatwa 30 b Bado Serikali G

Zitto amepiga porojo tu.

Wewe katafute basha wa kukuchokonoa huko nyuma mpumbavu kabisa wewe ng'ombe kabisa.
 
Hii ripoti ya Zitto imenikumbusha enzi zileeee za utoto hasa suala la kuoga asubuhi ndo uende shule. Nilikuwa nanawa uso, mikono na miguu yaani kupiga passpot.
Zitto umeamua kuyavulia maji nguo, oga!. Uoga wa nini sasa? Wewe taja hata kama mkulu alipata bahasha sema ili kuepuka kuwa Simon wa Kirene aliyemsaidia nabii Issa kubeba msalaba wake.
Labda kama umeyaweka majina hayo reserve kama kinyango cha kusuuzia mdomo wakati wa tonge la mwisho. Najua unayo.

Cc: Zitto Kabwe.
 
Hii ripoti ya Zitto imenikumbusha enzi zileeee za utoto hasa suala la kuoga asubuhi ndo uende shule. Nilikuwa nanawa uso, mikono na miguu yaani kupiga passpot.
Zitto umeamua kuyavulia maji nguo, oga!. Uoga wa nini sasa? Wewe taja hata kama mkulu alipata bahasha sema ili kuepuka kuwa Simon wa Kirene aliyemsaidia nabii Issa kubeba msalaba wake.
Labda kama umeyaweka majina hayo reserve kama kinyango cha kusuuzia mdomo wakati wa tonge la mwisho. Najua unayo.

Cc: Zitto Kabwe.
Mimi haingii akilini kuwa umetaja majina ya watu waliochukua 3.3bilions lakini hutaki kutaja majina ya watu waliochukua 73Bilions .Je hiyo kamati una uchungu na Taifa hili???Au kuna mpango wa urais hapo???
 
Ungenielewesha kuliko kuniattack..kama wewe umeelewa..basi nipe ufafanuzi..its just that simple. Hapa mie naona kuna yaliyojificha na sisi tunashabikia tusichokijua

ebwana in short ni kuwa AG ndiye mhusika wa masuala yote ya kisheria, iwe fedha, nk, sasa basi kodi nayo ni sheria mfano. vAT nayo ni sheria inaitwa VAT Act ya 2004, hivyo basi AG anatakiwa kuzitafsiri hizi sheria wakati inapotakiwa, kama vile wakati wa hili sakata aliombwa mwongozo kama kutakuwa na kodi yoyote ya kulipa lakini yeye alikataa, ni hivyo kwa kikifupi!
 
Mingoi, mpaka sasa naiona ni drama na fitna lakini sijaona haswa sheria iliyovunjwa. Usisikie zile porojo za Zitto. Ngoja kesho.

Bibi utakuwa ume virugwa sio bure. Inaonekana kubeba box kume kuharibu akili.
 
Back
Top Bottom