Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Makinda leo namwelewa, Kamuongezea Zito muda wa kuwasilisha sehemu yake, kabla ya Filikonjombe hajaja na mapendekezo ya kamati ya PAC.
mOVIE INAENDELEA!
 
Mbona kila wanapotaka kumtaja PINDA mitambo inakata?
 
KUDADADADADEEEEKI!!!!!!!!!
Wanyongweeeeeee haooooooo! Mmesikia kodi iliyopotea ni billion 6!!!! dah watu wamelipa badala yake chini ya miilion 10!
 
Jamani mnisamehe, naanza kuhisi "TEZI DUME" Ni la kughusshi. Mtizamo
 
walilipa kodi elfu sitini eti!!

jamaa wamekwepa kodi kinoma!!

bilioni 8 zimechikichiwa
 
bilioni 8.6 inapotea hivi hivi,mwe Tanzania ni shamba la bibi
 
Makinda leo kaamua kucheza fair play.... Hongera zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…