Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
TV zenye vichogo kumbe bado zipoHuyu hapa zitto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TV zenye vichogo kumbe bado zipoHuyu hapa zitto.
kodi imepotea billion 8!
Yaaani watu wanaiba nabilioni,halafu kutwa tunapewa misaada ya milioni 300 sijui mia mbili,ni aibuuuuuuuukodi imepotea billion 8!
Jamani mnisamehe, naanza kuhisi "TEZI DUME" Ni la kughusshi. Mtizamo
Leo nimekaa hapa sebuleni na familia nzima. Wife, mwanagu wa miaka mi 4 shemeji, dada wa nyumbani, house boy, kijana wa jirani na kuna jamaa wawili siwajui vizuri lakini poa tu tutaulizana baada ya repoti hii bungeni!
bilioni 8.6 inapotea hivi hivi,mwe Tanzania ni shamba la bibi
kivipi nyumbatatuJamani mnisamehe, naanza kuhisi "TEZI DUME" Ni la kughusshi. Mtizamo
haaah,haah hatare mzee mwenzanguJamani mnisamehe, naanza kuhisi "TEZI DUME" Ni la kughusshi. Mtizamo
Tuondolee utoto wako hapa pumbavuvp. uef leo arsenal. tuta chomoka
Kama mnacheki mpira vile,kweli watu wanauchungu na salio...Leo nimekaa hapa sebuleni na familia nzima. Wife, mwanagu wa miaka mi 4 shemeji, dada wa nyumbani, house boy, kijana wa jirani na kuna jamaa wawili siwajui vizuri lakini poa tu tutaulizana baada ya repoti hii bungeni!
PAP kampuni hewa kwa hiyo tukisema Miraj Kikwete na Salama Kikwete ndio wamiliki hatutakosea.
Mrudisheni Zitto,kadhihirisha yeye sio msaliti,mrudisheni wallah mtachukua nchi 2015,UMOJA NI NGUVUChadema kuanza operesheni mpya kudai fedha za ufisadi, ikiwemo Escrow
mrus
Chadema kuanza operesheni mpya kudai fedha za ufisadi - Kitaifa - mwananchi.co.tz