Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Hadi watumishi was Mungu askofu mchungaji wamepokea hela sio wrote waitwao bwana watauona ufalme wa Mungu nao waachie nafasi zao huyo sio Mungu wanayemtumikia
 
Wamechelewa mkulu wa kaya mjanja akishaona kimenuka nchini huwa anajitaftia ziara za nje mda huu akaona akisema ziara saga lingemkuta akasingizia tezi dume nahisi haumwi

Na mambo yanavyoendelea leo lazima lifumuke tezi dume lingine halafu aende Italy akaombewe
 
Hawa wapuuzi ndio maana walitengua vifungu ktk rasimu ya Warioba walivyokua vinawabana endapo upuuzi kama unajitokeza.
 
Tanzania kweli ni shamba la bibi.... Wamegawana hela zetu kama nguo za marehemu.
 
Back
Top Bottom