msemakweli 1
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 290
- 68
Watu wa ccm hata siku moja hamjiamini, pole sana na bado mwakani mnaangushwa katika uchaguzi.siamini kama imesomwa mungu mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa ccm hata siku moja hamjiamini, pole sana na bado mwakani mnaangushwa katika uchaguzi.siamini kama imesomwa mungu mkubwa
umeona eeeeh,wakati muhimbili wagonjwa wanalala chiniDuu watu walienda benki na viroba kubeba pesa!
nyuzi zitafumuka aisee!
Wamechelewa mkulu wa kaya mjanja akishaona kimenuka nchini huwa anajitaftia ziara za nje mda huu akaona akisema ziara saga lingemkuta akasingizia tezi dume nahisi haumwi
Watajinyea leo mbwa weusiTetemeko la nchi...
anasikilizia hii ishu kwa mbaaaliiii jk mjanja sana.
Yamegawana hela zetu kwa magunia!!!!!!!