Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa babu ulikua wapi?
mkuu usimuite hoe .. inaleta maana nyengine
Nimeshuhudia tundu Lissu akimpigia makofi zitto kabwe na kumpatia mkono wa pongezi mara baada ya kumaliza kusoma report PAC, siasa tamu sana
Mungu atabariki vipi nchi ilojaa uchafu wa namba hii. Nina wasiwasi na dua zetu kwa Mwenyezi Mungu.Sasa ndo nimeelewa kwa nini Werema alitaka kurusha Ngumi kwa Kafulira,
hawa watu ingekuwa China kitanzi kilikuwa halali yao ila kwa nchi yetu hii napata uchungu zaidi kwa namna sakata hili litavyoishia.
"MUNGU IBARIKI TANZANIA"
why not ni haki yake kamamwenyekitiwa kamatihivi na cdm wamempigia makofi zzk
Acha umbea we bhahau Pengo katajwa wapi au unasikiliza kwa macho uku ukiangalia kwa masikio..bil.78 zilitolewa kinyume na sheria, kwa hili PENGO anapaswa aende lumande.
Mengi Tv zake zote amekata vipindi anarusha live.
Natamani kumlenga na manati kabisa! Atakua ana iga tactics za bosi wake kucheka cheka tu akifikiri tatizo litamchekea pia!Mbona Muongo anajichekesha chekesha atajuta na dharau zake