Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

muumini kumpa pesa mtumishi wa Mungu si jambo geni, kwani ni wangapi ambao tumekuwa tukienda kuwapa misaada viongozi wa dini? hapa naomba tuchunguze kwa umakini au tuwe waangalifu sana katika hili.
Mkuu bado unatetea? Ama kweli hizi imani zimetufanya tuwe na ubongo mzito.
Inaonekana hata siku ukimkuta askofu anafanya mapenzi na mkeo utajiaminisha kuwa askofu anapewa sadaka.
 
mbona habari za kurudisha hela tu sisikii habari ya kufungwa hapa arudishe na jela juu nakazi ngumu
 
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.

Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
utazitema hela ulizomegewa na singasinga
 
Jamani aibu saaaaana tena dhambi hebu angalieni kwa hao walaji wa fedha za escrow wenzetu waislamu hawapo ila sisi wakristo ndio tumetia aibu jamani
 
mbali na kuchukua sadaka za waumini wameona hawridhiki sasa wameamua kuiba za umma.
 
Ha ha ha cheki hii kitu
 

Attachments

  • 1417018994824.jpg
    1417018994824.jpg
    48.1 KB · Views: 293
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.

vipi kuhusu bank yetu inayotumika kutakatisha fedha? mtu anachukua 70b cash ? uongozi wa bank upo kimya!
 
Mkuu hiyo ni simpo sana. Kama alikuwa anadai ushahidi utaonyeshwa kwamba mtu alikuwa akimdai JR. Ataonyesha alikuwa akidai nini na analipwa nini. Alifanya biashara gani na JR/VIP?na huyo mdai ana biashara hiyo na analipa kodi.

Kwa hiyo mtu kama Askofu Kilaini tutasema alikuwa akimdai JR/VIP sadaka/zaka alizolimbikiza?je sadaka zinalipwa kwa kilaini ama kanisani.
Mwingine ndio katushtua hapa. Pesa zilizolipwa zote zimefanana... Nyingine zimezidi mara 2, mara 20, mara 40, mara 82. Sasa wote hao sijui walikuwa wana madai sawa. Au ndio fungu la kumi...
 
Du!!! umeshikwa pabaya, nahisi wewe sio mtanzania,utakuwa ni yule JAMBAZI nyuma ya avart yako. Mlishaanza kujibu kwa kutumia mahakama ili ripoti isijadiliwe kibuyu kikalia. Tusubiri kesho kamasi zitakavyowatoka.
Naongelea uwasilishaji, si huo uchunguzi. Na pia tumesikia upande mmoja mpaka tungoje upande wa pili wanasemaje.

Mpaka sasa sijaona kilichowasilishwa ambacho hakijibiki.
 
Hii wizara ya nishati bado haijapata mtu makini na sijui atakuwa nani zamu hii.
 
Kila mwenye sikio amesikia na mwenye macho ameona kazi iliyofanywa na kamati ya PAC chini ya mwenyekiti mh Zitto Kabwe na makamu wake Deo juu ya Tegeta Escrow Account, hongereni mmekata kiu ya watanzania
Jamani kwani kunanini bungeni leo mbona kila mtu zito..zito kafanyaje huyu jamaaa na scroo ndio nini wakuu/?
 
Baba Askofu,rudisha tu hela

ni kweli yametokea,ni ajali tu!!

Rudisha hela uliyopewa na Ruge

Utakua umefanya jambo la maana sana!!

AH AH BABA PAROKO KAWA MSAKA TONGE???. CHEZEA UYU SIJUI PAROKO. SIJUI FATHER VS ELA??. HAWA NDO WANASHABIKIA SERIKALI MBILI ILI KUSIWE NA CHOMBO CHA KUDHIBITI RASIKIMALI ZA TANGANYIKa
 
Hivi najiuliza kwa mfano mtu alikuwa anamdai fedha Rugemalira na akalipwa kipindi hicho how do you say kuwa ni fedha za ESCRO? Manake naona kama kamati inachukulia kila aliyelipwa na Ruge ilikuwa ni fedha za ESCRO . I think that's wrong assumption. Kwani Rugemalira ni mfanyabiashara analipa watu kila siku na kwa sababu mbalimbali. Sisemi hakuna wizi ila nasema ni wrong assumption kuassume kuwa kila aliyelipwa eti ilikuwa ni mgao wa ESCROW.
Yaah, umefikiria vema lakini ukumbuke pia kamati imejiridhisha pasipo shaka (kwa maneno yao) kuwa hela iliyotoka katika account ya Tegeta Escrow ndo iliyomlipa Rugemalira katika account ya mkombozi. Hela hiyo ni ya umma na inatasfiriwa kama hela isiyo halali (haramu/chafu). Ukilipwa kwa hela haramu kwa sharia ya Anti-laundering money unatuhumiwa kusaidia kuitakatisha fedha haramu.
 
Usijali mkuu haramu haina pa kupita upande huu wa pili na bado
mkuu hii imenithibitishia kabisa malalamiko ya sisi upande wa pili yana ukweli ndani yake ila tunapuuzwa, hii inauma sana mkuu na bado m`mungu ataendelea kuwaumbua, huyu ndie mungu tunaye muamini sisi ambaye hamfichi mnafiki hata ipite miaka mia na zaidi iko siku ataumbuwa tu.
 
Back
Top Bottom