Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

shida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tu

kwanza unapaswa kujua kuwa Simba ndo timu pekee iliyofunga bao kwenye huo uwanja wa Cairo kwenye ayo mashindano.
Na kisha akafuzu, Mamelod hakupata goli Cairo akaaga mashindano. Ukisikia sifa za kijinga ndio hizo.
 
Nilisoma nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…