Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Karibuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
View attachment 3200059View attachment 3200061
--------------------------------------------
Updates 2200 Hours
0'+ Mpira umeanza hapa katika dimba hili la Stade de Capitale kwa Yanga kuanzisha Boli
7' Gooooooooaaal, Stephane Aziz Ki anawatanguliza Yanga hapa kwa shuti kali lililomshinda Kipa Issa Fofana
15' Al Hilal wnashambulia lango la Yanga lakini Khalid Aucho anakata umeme ule na kuwaweka Yanga salama
22' Yanga wanapata Faulo hapa kuelekea Al Hilal, Aziz Ki anapiga kwa Mudathir anaaiingiza ndani lakini inatolewa..Baka pia anamdondosha mchezaji wa Hilal kwa hiyo inakuwa freekick
25' Jean claude Girumugisha anashambulia kwenda Yanga lakini inaokolewa inakuwa kona...kona inapigwa inaokolewa hapa
32' Yanga wanapata kona, inapigwa na Pacome lakini wachezaji wawili wa Hilal wanagongana vichwa na refa anasimamisha mpira ili watibiwe
34' Al Hilal wanapata kona inapigwa ila Guessoma Fofana anapiga kichwa kikubwa inaenda nje..Goal kick
38' Aime Tendeng wa Hila anawekwa chini, wanapata faulo, inaanzishwa haraka haraka lakini Yanga wanainasa fasta na kuondoa hatari
42' Al Hilal wanafanya counter attack ya hatari kwenda Yanga lakini Guessoma Fofana anafanya faulo inakuwa free kick
44' Aziz Ki anakosa goli hapa baada ya Issa Fofana kuugusa mpira kwenda nje...Daah chupuchupu
Dakika 2 za nyongeza kwenda Half time
2247 Hours Half time, Al Hilal 0 Yanga 1
2305 Hours Kipindi cha pili kimeanza kwa Al Hilal kuanzisha mpira
49' Dube anashambulia hapa, Adama Coulibali anautoa nje inakuwa ni kona..inapigwa lakini Fofana Issa anaokoa
52' Pacome na Aziz Ki wanaonana vizuri kushambulia lango..wanampa Dube, Dube anapiga mpira unakataa unatoka nje hapa, shambulizi linakataa
59' Aziz Ki anajaribu shuti kali lakini Kipa Fofana analificha kihodari
65' Dube anamuangusha mchezaji wa Al Hilal baada ya shambulizi kali, inakuwa faulo..inapigwa kuuuubwa inakwenda nje inakuwa Freekick
70' Sub kwa Al Hilal
Yasir Mozamil ndani
Abdelrahamn Mohd . Nje
Coulibali nje
Pokou ndani
73' Steven Ebuela anapiga faulo kwenda Yanga, inaokolewa.. Hilal wanaupata Tena ila shuti la Jean Claude linadakwa na Diarra Djigui
78' Sub kwa Hilal
ndani
Abdulrouf Omer
El din
Nje
Alhadj Kane
Tendeng
82' Aucho wa Yanga yupo chini baada ya kugongana mguu na mchezaji wa Hilal na inaonesha kutakuwa na Mabadiliko kama akiridhia
87' Sub kwa Yanga
Musonda anaingia ndani
Ki Aziz anatoka nje
Wakati huo Djigui Diara yupo chini anatibiwa baada ya kuangushwa
90' Dakika 5 kumaliza mchezo huu wa leo
91' Sub kwa Yanga
Duke Abuya ndani
Mudathir Yahya nje
93' Sub kwa Yanga
Chama ndani
Pacome nje
Boka anarusha mpira ule kwenda Hilal ila unaokolewa
94' Chama anaangushwa chini alipokuwa akishambulia, wanaanza faulo harakaharaka..Mzize anaupata ila kipyenga kinaliaaa
95' FULL TIME MPIRA UMEISHA...
AL HILAL 0 YANGA 1
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
View attachment 3200059View attachment 3200061
--------------------------------------------
Updates 2200 Hours
0'+ Mpira umeanza hapa katika dimba hili la Stade de Capitale kwa Yanga kuanzisha Boli
7' Gooooooooaaal, Stephane Aziz Ki anawatanguliza Yanga hapa kwa shuti kali lililomshinda Kipa Issa Fofana
15' Al Hilal wnashambulia lango la Yanga lakini Khalid Aucho anakata umeme ule na kuwaweka Yanga salama
22' Yanga wanapata Faulo hapa kuelekea Al Hilal, Aziz Ki anapiga kwa Mudathir anaaiingiza ndani lakini inatolewa..Baka pia anamdondosha mchezaji wa Hilal kwa hiyo inakuwa freekick
25' Jean claude Girumugisha anashambulia kwenda Yanga lakini inaokolewa inakuwa kona...kona inapigwa inaokolewa hapa
32' Yanga wanapata kona, inapigwa na Pacome lakini wachezaji wawili wa Hilal wanagongana vichwa na refa anasimamisha mpira ili watibiwe
34' Al Hilal wanapata kona inapigwa ila Guessoma Fofana anapiga kichwa kikubwa inaenda nje..Goal kick
38' Aime Tendeng wa Hila anawekwa chini, wanapata faulo, inaanzishwa haraka haraka lakini Yanga wanainasa fasta na kuondoa hatari
42' Al Hilal wanafanya counter attack ya hatari kwenda Yanga lakini Guessoma Fofana anafanya faulo inakuwa free kick
44' Aziz Ki anakosa goli hapa baada ya Issa Fofana kuugusa mpira kwenda nje...Daah chupuchupu
Dakika 2 za nyongeza kwenda Half time
2247 Hours Half time, Al Hilal 0 Yanga 1
2305 Hours Kipindi cha pili kimeanza kwa Al Hilal kuanzisha mpira
49' Dube anashambulia hapa, Adama Coulibali anautoa nje inakuwa ni kona..inapigwa lakini Fofana Issa anaokoa
52' Pacome na Aziz Ki wanaonana vizuri kushambulia lango..wanampa Dube, Dube anapiga mpira unakataa unatoka nje hapa, shambulizi linakataa
59' Aziz Ki anajaribu shuti kali lakini Kipa Fofana analificha kihodari
65' Dube anamuangusha mchezaji wa Al Hilal baada ya shambulizi kali, inakuwa faulo..inapigwa kuuuubwa inakwenda nje inakuwa Freekick
70' Sub kwa Al Hilal
Yasir Mozamil ndani
Abdelrahamn Mohd . Nje
Coulibali nje
Pokou ndani
73' Steven Ebuela anapiga faulo kwenda Yanga, inaokolewa.. Hilal wanaupata Tena ila shuti la Jean Claude linadakwa na Diarra Djigui
78' Sub kwa Hilal
ndani
Abdulrouf Omer
El din
Nje
Alhadj Kane
Tendeng
82' Aucho wa Yanga yupo chini baada ya kugongana mguu na mchezaji wa Hilal na inaonesha kutakuwa na Mabadiliko kama akiridhia
87' Sub kwa Yanga
Musonda anaingia ndani
Ki Aziz anatoka nje
Wakati huo Djigui Diara yupo chini anatibiwa baada ya kuangushwa
90' Dakika 5 kumaliza mchezo huu wa leo
91' Sub kwa Yanga
Duke Abuya ndani
Mudathir Yahya nje
93' Sub kwa Yanga
Chama ndani
Pacome nje
Boka anarusha mpira ule kwenda Hilal ila unaokolewa
94' Chama anaangushwa chini alipokuwa akishambulia, wanaanza faulo harakaharaka..Mzize anaupata ila kipyenga kinaliaaa
95' FULL TIME MPIRA UMEISHA...
AL HILAL 0 YANGA 1