Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila bado nafasi ya 3Yanga ni kali sana
Utashaa leoYaani kocha kampanga Diarra halafu wewe unaleta mizaha eti Mungu aipatie Uto ushindi...
Acha bangi we chura wahed.
Leo kuna pazia na shati kwa goli la utopwinyo
Lol.Umejifunzia wapi matusi makubwa makubwa namna hii?
Eti Bantu Lady na Shadeeya watani zangu, haya si ni matusi kabisa Kalpana kawaamulia leo
Story uliendelea?Hizi kazi za kuanzisha matchday thread hasa za yanga wangemuachia Vincenzo Jr tu maana hakuna hata update mleta mada analeta
Kwani hulali leo Mtani. 🤣Kabla ya dakika 90 huwa tujimwambafai🤣😂
hakuna muhasibu paleNgoja niende kwenye uzi wa mwasibu
Hell No, tuliza akili ukasome kwa umakini nilichoandika na ulichojibu.Kweli umehemkwa. Bas ngoja tusubirie dk 90 za Ibenge
Tena sana, wanahujuma kali mnoAl Hilal wananihujumu
Yanga moja dakika ya 10Hizi kazi za kuanzisha matchday thread hasa za yanga wangemuachia Vincenzo Jr tu maana hakuna hata update mleta mada analeta
Nakielewa sana, sema nilikuchokoza tu kiutaniHell No, tuliza akili ukasome kwa umakini nilichoandika na ulichojibu.