Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GAG4F52TKFL Confirmed. Tsh150,000,000.00 sent to FLORENT IBENGE M-PESA on 12/1/25 at 01:25 PM. New M-Pesa balance is Tsh525,371.00.View attachment 3200132
Ibenge chukua bahasha hyo mtulegezee coz nyie mmeshavuzu
Ibenge sawa unamuhonga, na yeye anahonga wachezaji wake au?GAG4F52TKFL Confirmed. Tsh150,000,000.00 sent to FLORENT IBENGE M-PESA on 12/1/25 at 01:25 PM. New M-Pesa balance is Tsh525,371.00.
Ule mwenendo wake wakushinda kagoli kamoja zen tukanza kupasuka hovyo mbona angetuuaAngetushushaje daraja na sisi tulikuwa tunashinda tunaongoza league are you stupid or what
Mastriker wenu wamemzidi Dube goli ngapi?Huyu Dube ndo striker wenu!!!??? Mna safari ndefu sana. Anyway, NAUZA CALCULATOR
Siku sio nyingi lawama zitarudi GSM. Point moja sio ya kuidhamini.Yanga mna shida gani, mnashinda ila nafasi zenu hazibadiliki. Siyo NBC, siyo CAF.
Kwa bahashaNilisema yanga akimfunga Mazembe basi atafunga team zote atakazokutana nazo ikiwemo Simba Sasa kuifunga Hilal kwao ni hatua kubwa sana
Robo hii hapa
KweliShukran kwa Azam, serikal na Karia
Shukrani zote ni Kwa Mama Samia Suluhu HasanShukran kwa Azam, serikal na Karia
Kabisa Swahiba na ndo tumekifanya Timu ya Wananchi.Swahiba ushindi muhimu leo
Wale alger tutamalizana nao kwa mkapaKabisa Swahiba na ndo tumekifanya Timu ya Wananchi.
Kabisa. Na hatutakuwa na huruma nao.Wale alger tutamalizana nao kwa mkapa
Ila swahiba kolozidad wameenda robo lakini hawana furaha!Kabisa. Na hatutakuwa na huruma nao.
Kwanini asifugwe?Mmeanza kuandika pumba, hivi unafikiri mtaifunga MC Alger?
Hahahaaaa. Wanaonekana tu Swahiba.Ila swahiba kolozidad wameenda robo lakini hawana furaha!