Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Ni kikosi hikihiki cha dhahabu lakini kilishatoka kwenye reli kikaanza kupoteza mechi na kupelekea Gamondi kuondolewa, ni chini ya Kocha huyu kikosi kimerudi kwenye reli na kuanza kushinda mechi zake mfululizo.

Ni chini ya Kocha huyu, mfumo wa uchezaji umeonekana kuimarika na kuwapa shida wapinzani wao.
Yeah
Whatever, ila saed amejitahidi kurudisha kiwango cha timu na mchezaji mmoja mmoja
Kibwana shomari alishapotea kwenye ramani chini ya gamondi
Nkane kageuzwa kua beki
Farid mussa tulishamsahau
Azizi K na pacome walikua wanatukanwa kila mechi
 
Acha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?

Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Ulisema hautasapoti timu kisa Gamondi kufukuzwa vipi kilichokuleta ni nini? Subiri Gamondi apate timu umfate kwenye timu yako. Kitendo cha kumsifia unadhihirisha kuwa wewe ni shabiki mnafiki. Umemtusi sana kocha huyu pamoja na uongozi wa Yanga risiti zako zimo humu.
 
Ulisema hautasapoti timu kisa Gamondi kufukuzwa vipi kilichokuleta ni nini? Subiri Gamondi apate timu umfate kwenye timu yako. Kitendo cha kumsifia unadhihirisha kuwa wewe ni shabiki mnafiki. Umemtusi sana kocha huyu pamoja na uongozi wa Yanga risiti zako zimo humu.
Kwahiyo unatakaje?
 
Acha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?

Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Hayo uliyoona wewe ni maamuzi ya kipuuzi, ndio wengine tunaona matunda ya hayo maamuzi kwasasa. Kibwana huyo hapo anakiwasha, wakati Gamondi alitaka kuua uwezo wake.
 
Hayo uliyoona wewe ni maamuzi ya kipuuzi, ndio wengine tunaona matunda ya hayo maamuzi kwasasa. Kibwana huyo hapo anakiwasha, wakati Gamondi alitaka kuua uwezo wake.
Sikia nikwambie, niliyosema mimi ni mimi na sikumsemea yeyote.

Siko hapa kukufurahisha.
 
Hadi leo msimamo wangu ni uleule, haukuwa uamuzi sahihi.

Maamuzi yalitangazwa hadharani, nami nilisema hadharani na hata sasa nasema Hersi alizingua.

Leo hii tupo kwenye pressure ya kutegemea mechi ya mwisho kwa ajili ya maamuzi yale ya kipumbavu.

Kama kwako/kwenu ulikua uamuzi sahihi ni sawa.
Kipi kinakupa jeuri ya kuamini kuwa Gamondi angefanya vizuri ili hali wote mashahidi tumeona timu ya Gamondi iki struggle uwanjani kupata matokeo kwa timu za daraja la kati na chini kwenye NBC? Ikishinda ni kwa tabu tena goli moja tu kwa vitimu kama Ken Gold, n.k
 
Ila Watani bwana 🤣🤣 yaani mtu usiku kucha unashupaza shingo kwamba kwa Mkapa hatutoboi nani kasema.

Tunajua mmeumia na kiukweli mtazidi kuumia. 🤣🤣
Screenshot_20250113_091736_Gallery.jpg

Kolozidad baada ya ushindi wa Yanga
 
Back
Top Bottom