Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijisahaulishe, ulisema Ibenge asiwaangushe..!!Mkuu tunaangukaje wakati sisi tumeshafika tulikozoea..nyie Bado calculator inahusika
SawaUsijisahaulishe, ulisema Ibenge asiwaangushe..!!
Eti eeeh.Wanao umia watakua hawana kazi za kufanya zaidi ya kuumia labda.
Ahsante sana mtani Bill tunashukuru, tumeshinda tunakuja kumalizia home.
Kolozidad wana roho mbaya sana😂Hahahaaaa. Wanaonekana tu Swahiba.
Sasa wafurahi Kwa kitu ganiIla swahiba kolozidad wameenda robo lakini hawana furaha!
Sio pumba tu ni mashuduWe umeona hiyo ni pumba sio bas subiri
YeahNi kikosi hikihiki cha dhahabu lakini kilishatoka kwenye reli kikaanza kupoteza mechi na kupelekea Gamondi kuondolewa, ni chini ya Kocha huyu kikosi kimerudi kwenye reli na kuanza kushinda mechi zake mfululizo.
Ni chini ya Kocha huyu, mfumo wa uchezaji umeonekana kuimarika na kuwapa shida wapinzani wao.
Wachezaji wamejipata wenyewe bila uwepo wa benchi la ufundi? Mbona walivyokuwa na Gamondi walishuka viwango?Huyu kocha mweupe sana, ni wachezaji wamejipata tu, hajawaongezea chochote.
Ulisema hautasapoti timu kisa Gamondi kufukuzwa vipi kilichokuleta ni nini? Subiri Gamondi apate timu umfate kwenye timu yako. Kitendo cha kumsifia unadhihirisha kuwa wewe ni shabiki mnafiki. Umemtusi sana kocha huyu pamoja na uongozi wa Yanga risiti zako zimo humu.Acha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?
Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Kwahiyo unatakaje?Ulisema hautasapoti timu kisa Gamondi kufukuzwa vipi kilichokuleta ni nini? Subiri Gamondi apate timu umfate kwenye timu yako. Kitendo cha kumsifia unadhihirisha kuwa wewe ni shabiki mnafiki. Umemtusi sana kocha huyu pamoja na uongozi wa Yanga risiti zako zimo humu.
Hayo uliyoona wewe ni maamuzi ya kipuuzi, ndio wengine tunaona matunda ya hayo maamuzi kwasasa. Kibwana huyo hapo anakiwasha, wakati Gamondi alitaka kuua uwezo wake.Acha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?
Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Sikia nikwambie, niliyosema mimi ni mimi na sikumsemea yeyote.Hayo uliyoona wewe ni maamuzi ya kipuuzi, ndio wengine tunaona matunda ya hayo maamuzi kwasasa. Kibwana huyo hapo anakiwasha, wakati Gamondi alitaka kuua uwezo wake.
Kipi kinakupa jeuri ya kuamini kuwa Gamondi angefanya vizuri ili hali wote mashahidi tumeona timu ya Gamondi iki struggle uwanjani kupata matokeo kwa timu za daraja la kati na chini kwenye NBC? Ikishinda ni kwa tabu tena goli moja tu kwa vitimu kama Ken Gold, n.kHadi leo msimamo wangu ni uleule, haukuwa uamuzi sahihi.
Maamuzi yalitangazwa hadharani, nami nilisema hadharani na hata sasa nasema Hersi alizingua.
Leo hii tupo kwenye pressure ya kutegemea mechi ya mwisho kwa ajili ya maamuzi yale ya kipumbavu.
Kama kwako/kwenu ulikua uamuzi sahihi ni sawa.
Nishakupuuza we zeroSio pumba tu ni mashudu
Ila Watani bwana 🤣🤣 yaani mtu usiku kucha unashupaza shingo kwamba kwa Mkapa hatutoboi nani kasema.
Tunajua mmeumia na kiukweli mtazidi kuumia. 🤣🤣
Dah!Rudia mtani nimeedit kidogooo...
Ukweli ni kwamba hii mechi ilikua imeshaisha nje ya uwanja...
Ndo maana nilisema mtashinda...
Ibenge mwenyewe aliwaambia hana
Cha kupoteza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unaweza kuoga na mjini usiendeUsijisahaulishe, ulisema Ibenge asiwaangushe..!!
Usije tu ukaikana hii kauli yako..!! Usisahau, unaweza usioge na mjini ukaenda..!!Unaweza kuoga na mjini usiende