Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Hatari sana huyu
Huyu mugisha huyuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mugisha huyuu
Ana pass flani hivi ⚽️Leo Aucho kuna mambo flani anafanya, aongezwe mkataba.
kwamba kipa amehongwa aachie hilo goliHili la kuhongana mbona lilishasemwa kabla ya hii mechi kuanza.
Mpira ni magoli nyingine mbwembwe tu.Walifunga Dar inatosha. Wewe unataka wafunge kila sehemu ndo ukubali kuwa wanajua.?
Ngapi kwa ngapi ?Hii mechi wala si ya kufuatilia matokeo yanajulikana.
Umesahau walitufungaje last time?? Hata haikufahamika ndio maana nasema jamaa wawe makini sanaHuu uchawi sasa
Mashindano ya wamama
Ombea vyovyote itakavyokua Yanga leo tupate point 3 kapuniUmesahau walitufungaje last time?? Hata haikufahamika ndio maana nasema jamaa wawe makini sana
Unataka kunipa mume mkuu?UMeshaolewa?
Sema: Al Hilal wamekutana na kibonde ndomana wanaonekana wanajua.Al Hilal mpira wanaijua Tena sana Yanga mkishinda hii mechi basi mtafika mbali.
Nani kahongwa ? Ila mbumbumbuHili la kuhongana mbona lilishasemwa kabla ya hii mechi kuanza.