chama anapewa dakk za jioniiiiWapi Chama
Kitam ukuta jamboTunachuma muda wowote tunaotaka.....😹😹
Yanga ni jitu kubwa sanaaa...... Labda ututishie man city, ila sio hizi timu tunazojipigia pigia tano tanoKitam ukuta jambo
MnooGame nzuri sana
Ila Azam wako vizuri sana leo, wanastahili kushinda hii gameYes babe, tell me you're not a Simba fan anymore 🤣 otherwise leav..... m.. alone.
Choose between me and Simba🤭
KabisaaaIla Azam wako vizuri sana leo, wanastahili kushinda hii game
AiseeeeeeYanga wabaonekana wamechoka kutokana na kibarua cha Alhamisi.