joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wajinga wanakamiaga sana ndio maana huishia kuchezaga rafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ze old time EngineerKila la heri wanetu wa LambalambaView attachment 3067073
Mbona kama mnaingia upepo mapema sana? 🤣🤣🤣Wajinga wanakamiaga sana ndio maana huishia kuchezaga rafu.
Mtashinda Njaa.Kwamba azam na 5imba wataifunga yanga, tunacheza na timu mbili ila tutashinda.....
Kikosi cha yanga, we huogopi.....Ila jiandae na Maumivu badae
Unaweza usieleweke kirahisiNi kweli kabisa!! Kama Pacome angecheza soka la kisasa, Yanga angeweza kuifunga Simba magoli zaidi!! Kukaa na mpira kunatoa nafasi kwa timu pinzani kujipanga na kwa vyovyote vile lazima mpira utaupoteza tu hata baada ya kupiga chenga baadhi ya wachezaji!! Pacome hana uwezo wa kucheza kisasa!! Akili yake amewielekeza kucheza na jukwaa kwa manufaa yake binafsi na si kwa manufaa ya timu!!
my one and only!!Kila lakheri Yanga, piga Azam hao
Arudi Simba kufanya nini?Chama ajiandae kuzeekea kwenye benchi!! Mwisho wa siku ataishia kwenye timu kama KMC, kwa sasa akirudi Simba pia ataozea benchi!!
Sijaangalia ila naskia tayari 3 au wamedanganya?🙆♂️ kumbe babe Simba wewe nakuacha🤭my one and only!!
😍
Pole hii game leo hamshindi kabisa
Sio upepo ndio ukweli wenyewe, wanashindana kutembeza viatu, msimu uliopita Akamiko na Skudu kwenye ngao, mechi ya round ya pili wakatuvunjia wachezaji wawili Yao na Pacome,wakafanya mechi na Mamelodi iwe ngumu.Wanakamia tuu ila hawanaga mpira wowote na lazima wakamie sababu mmiliki wao nae 5imba.Mbona kama mnaingia upepo mapema sana? 🤣🤣🤣
Unaniacha kisa mamipira?Sijaangalia ila naskia tayari 3 au wamedanganya?🙆♂️ kumbe babe Simba wewe nakuacha🤭
Ngoja tuone Ball mkuu.Sio upepo ndio ukweli wenyewe, wanashindana kutembeza viatu, msimu uliopita Akamiko na Skudu kwenye ngao, mechi ya round ya pili wakatuvunjia wachezaji wawili Yao na Pacome,wakafanya mechi na Mamelodi iwe ngumu.Wanakamia tuu ila hawanaga mpira wowote na lazima wakamie sababu mmiliki wao nae 5imba.
Wacheze mpira na si rafu.Ngoja tuone Ball mkuu.
Usiogope
Jitahidi hata upretend, otherwise usirudi nyumbani leo🤣Unaniacha kisa mamipira?
Sasa mi nifanyeje wakati nataka mshindwe?