Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Ni kweli kabisa!! Kama Pacome angecheza soka la kisasa, Yanga angeweza kuifunga Simba magoli zaidi!! Kukaa na mpira kunatoa nafasi kwa timu pinzani kujipanga na kwa vyovyote vile lazima mpira utaupoteza tu hata baada ya kupiga chenga baadhi ya wachezaji!! Pacome hana uwezo wa kucheza kisasa!! Akili yake amewielekeza kucheza na jukwaa kwa manufaa yake binafsi na si kwa manufaa ya timu!!
Unaweza usieleweke kirahisi
 
Chama ajiandae kuzeekea kwenye benchi!! Mwisho wa siku ataishia kwenye timu kama KMC, kwa sasa akirudi Simba pia ataozea benchi!!
 
Chama ajiandae kuzeekea kwenye benchi!! Mwisho wa siku ataishia kwenye timu kama KMC, kwa sasa akirudi Simba pia ataozea benchi!!
Arudi Simba kufanya nini?
Kipindi chake cha kuwika ndio kimeisha hivyo!! Hakuna namna tena sasa
 
Mbona kama mnaingia upepo mapema sana? 🤣🤣🤣
Sio upepo ndio ukweli wenyewe, wanashindana kutembeza viatu, msimu uliopita Akamiko na Skudu kwenye ngao, mechi ya round ya pili wakatuvunjia wachezaji wawili Yao na Pacome,wakafanya mechi na Mamelodi iwe ngumu.Wanakamia tuu ila hawanaga mpira wowote na lazima wakamie sababu mmiliki wao nae 5imba.
 
Sio upepo ndio ukweli wenyewe, wanashindana kutembeza viatu, msimu uliopita Akamiko na Skudu kwenye ngao, mechi ya round ya pili wakatuvunjia wachezaji wawili Yao na Pacome,wakafanya mechi na Mamelodi iwe ngumu.Wanakamia tuu ila hawanaga mpira wowote na lazima wakamie sababu mmiliki wao nae 5imba.
Ngoja tuone Ball mkuu.
Usiogope
 
Back
Top Bottom