Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kila la heri wanetu wa Lambalamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Active Huu uzi mbona hauko Live?View attachment 3066469
Match Day
⚽ Azam FC vs Yanga SC
🏟️ Benjamin Mkapa Stadium
🛡️ Community Shield.
📅 11.08.2024
⏰ 7:00pm
View attachment 3066943
View attachment 3066941
#Daimambelenyumamwiko#
Tukutane saa Moja kwa Updates...
Mwanzo mwisho!!
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza.
View attachment 3067064
KIKOSI CHA AZAM
View attachment 3067071
Sio kweliPacome anacheza mpira wa kizamani sana wa kung'ang'ania kukokota mpira kwa muda mrefu kwa kupiga chenga na hatimaye kupoteza mpira! Anapenda kucheza na jukwaa! Hafai!! Hali kadhalika kwa Kibu wa Simba! Ni uchezaji usiokuwa na tija kwa soka la kisasa!
Itakuwa jamaa ni shabiki wa Simba SCActive Huu uzi mbona hauko Live?
Kuna shida mahali??
Mnapigwa leo Utopox
All the best AzamYanga 3- Azam/5imba 0
Kila laheri chama la ushindi 💚💛💚💛
Hii risiti nimeitunza tukutane saa 3 usikuMnapigwa leo Utopox
Ni kweli kabisa!! Kama Pacome angecheza soka la kisasa, Yanga angeweza kuifunga Simba magoli zaidi!! Kukaa na mpira kunatoa nafasi kwa timu pinzani kujipanga na kwa vyovyote vile lazima mpira utaupoteza tu hata baada ya kupiga chenga baadhi ya wachezaji!! Pacome hana uwezo wa kucheza kisasa!! Akili yake amewielekeza kucheza na jukwaa kwa manufaa yake binafsi na si kwa manufaa ya timu!!Sio kweli
Tunza mwanangu ila leo Azam kagoma kabisaaaHii risiti nimeitunza tukutane saa 3 usiku
Kwamba azam na 5imba wataifunga yanga, tunacheza na timu mbili ila tutashinda.....All the best Azam
Sio mbaya Ukisema hivyoKwamba azam na 5imba wataifunga yanga, tunacheza na timu mbili ila tutashinda.....
🚮Ni kweli kabisa!! Kama Pacome angecheza soka la kisasa, Yanga angeweza kuifunga Simba magoli zaidi!! Kukaa na mpira kunatoa nafasi kwa timu pinzani kujipanga na kwa vyovyote vile lazima mpira utaupoteza tu hata baada ya kupiga chenga baadhi ya wachezaji!! Pacome hana uwezo wa kucheza kisasa!! Akili yake amewielekeza kucheza na jukwaa kwa manufaa yake binafsi na si kwa manufaa ya timu!!
Mh mliooa mnaitwa huku mtoe wake zenu ,wenye majivuno hao washaanza majivuno yaoLeo hakuna anaeweka mke rehani???
Ila jiandae na Maumivu badaeKwamba azam na 5imba wataifunga yanga, tunacheza na timu mbili ila tutashinda.....