Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Wananchiiiiiiii 😎😎😎💛💚💚💚. Cc ephen_
20240811_180710.jpg
20240811_180611.jpg
 
Pacome anacheza mpira wa kizamani sana wa kung'ang'ania kukokota mpira kwa muda mrefu kwa kupiga chenga na hatimaye kupoteza mpira! Anapenda kucheza na jukwaa! Hafai!! Hali kadhalika kwa Kibu wa Simba! Ni uchezaji usiokuwa na tija kwa soka la kisasa!
 
Back
Top Bottom