ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
1 kwa 1😂😂Mbona nasikia makelele sana huko vibanda umiza...ni askirimu au chura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1 kwa 1😂😂Mbona nasikia makelele sana huko vibanda umiza...ni askirimu au chura?
Duh!Bora waweke VAR yaani magoli yote ni offside kabisa.
Vibabu wamepewa goli la offsideMbona nasikia makelele sana huko vibanda umiza...ni askirimu au chura?
Jamani...ndo maana makelele mengi ...Memkwa yupi kafunga? 😃😃😃Vibabu wamepewa goli la offside
Kumbeee hapo umeeleweka...😁😁😁😁..
Game nzuri, lakini ninachokiona hapa ni Simba ijitafute ipate chemistry mapema sio kutegemea wakina Valentino mashaka😁,
Lasivyo vita ya nafasi ya pili itakuepo kubwa😁😁, yanga Sina wasiwasi nao maana wanadhamini timu 6 ligi kuu, Azam Wana timu🔥🔥
🤣🤣🤣Mmeanza shenzeeee 🤣🤣🤣🤣Aziz ukitomba sana uoni nao unafifia.
Haoni goli
Hivi bro huna namba zangu kweli uwe unanitumia tokeo..? Nipo safarini porini nateseka balaa..!!Afu fei wala hajavaa tait ndo nini lakini akipigwa mpira hapo kati si hatari, mbona anajirisk......
Huenda katumwa si bure.Mobeto amemuharibu mchezaji wetu.
Bro sina hebu nidropie pm nkuupdate 😹Hivi bro huna namba zangu kweli uwe unanitumia tokeo..? Nipo safarini porini nateseka balaa..!!
Cookie naomba tuwekeeni heading vizuri please matokeo hakuna.!!