Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Mkono ni shabiki wa Yanga..

Ile ni offside.
Very tight. Kuna makosa ya wazi yamefanywa na wachezaji wa mbele wa Azam. Walipopoteza mpira wachezaji takribani wanne walikuwa wanatembea badala ya kukimbia kwenda kumzonga mchezaji wa Yanga aliyekuwa na mpira.
 
Chuma cha pili..!πŸ’šπŸ’›πŸ”₯🀸☺️
 
Weuweeeeeeeeeeeeeee....!🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…