Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dogo aende Simba ambako ipo siku atafurahi na kuwadhihaki Yanga kama atakavyo na si hapo Azam.niliwaambia hapa Feisali atakimbia uwanja
Dah wamekatika wajinga hawaHuogopiiii
Mwasibu hatuna haraka nae , huo Uzi utashambuliwa wiki nzima bila kupumzika.Twendeni kwa mwasibu jamani. 😅😅😅
Niachie mimiAtakuruhusu??? 🤣🤣🤣🤣
Kila mechi yetu lazima ashangilie kwa mbwembwe halafu tunamkanda anakimbiaHawa wafungwe tu.. Feisal kanikera sana shangilia yake
Lieni, ubwela ubayaKwahiyo unataka tulie? We kolo vipi?
Fungu la kukosa hiliHawa lambaramba vipi hawa?
Kile kitendo kimewauma wachezaji 🤣🤣Wale nyingi yule boya alitukatia kiuno sisi
Umekubali yanga ni dude kubwaaaa sanaaaaDah wamekatika wajinga hawa
Hata mie kilinikera. 😅😅Wale nyingi yule boya alitukatia kiuno sisi