Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mtani unaringa sanaFeisal amewaponza.
Mtakiri woteHawa yanga hawa, mamamae zao ni bora sana, hii standard waliyonayo ni balaa, msishangae mtu akala tano.
UTOPOLO timu mnayo, tembeeni vifua mbele kama mmedundwa GUMI la mgongo
Mmekutana na vitonga mnajipigia tu sio π€£Kwani unanionea wivu?πππ
Sana yaani.Mtani unaringa sana
Umerusha kitaulo mwanetu wa Msimbazi?Hawa yanga hawa, mamamae zao ni bora sana, hii standard waliyonayo ni balaa, msishangae mtu akala tano.
UTOPOLO timu mnayo, tembeeni vifua mbele kama mmedundwa GUMI la mgongo
Tukutane mwezi wa 10πMmekutana na vitonga mnajipigia tu sio π€£
Haitakaa itokee....Mtakiri wote
Ni upepo tu na utapitaSana yaani.
Kwa Yanga hii naachaje kuringa sa. π
Poa poa ndugu.Mwasibu hatuna haraka nae , huo Uzi utashambuliwa wiki nzima bila kupumzika.
MremboAtakuruhusu??? π€£π€£π€£π€£