Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndivyo huwa unamfanya ephen?
Masikitiko sana! π‘Timu kubwa
Timu pendwa
Timu ya mafanikio
Timu ya mipango inayotekelezeka.
Timu ya wananchi ππ
Kila la heri Young Africans.
Hao nawafunga mkuuAzam sio ma looser Simba
Nenda kaanzishe Uzi wa Simba naskia mnacheza jua la utosiMasikitiko sana! π‘
Itakuwa wameifanya saa 10 labda Leo ratiba ilisema saa 9 kwenye jua la utosi
Kumbukumbu zangu zinaonesha wachezaji wengi wa Yanga upata majeraha mpaka kuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa wanapocheza mechi na Azam fc.
Lakini pamoja na yote,naitakia ushindi Yanga.
Ubaya Ubwela. Wakituumizia wachezaji wetu nao tusiwaache kwa idadi hiyo hiyo, ili nao wa- face the music.Kumbukumbu zangu zinaonesha wachezaji wengi wa Yanga upata majeraha mpaka kuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa wanapocheza mechi na Azam fc.
Lakini pamoja na yote,naitakia ushindi Yanga.
Saa tisa jua la utosi?Itakuwa wameifanya saa 10 labda Leo ratiba ilisema saa 9 kwenye jua la utosi
Hakupata pancha juzi?Dube anagoli lake leo
Poleni sisi huku hakunaga masikitiko, ni raha tu.Masikitiko sana! π‘
Ni mzimaHakupata pancha juzi?
Azam wanajua kucheza rafu sana, ila leo naona soft football watayopigiwa.Kumbukumbu zangu zinaonesha wachezaji wengi wa Yanga upata majeraha mpaka kuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa wanapocheza mechi na Azam fc.
Lakini pamoja na yote,naitakia ushindi Yanga.
jinga wewe olewa basiChama langu kubwa, timu kubwa Yanga SC ushindi mbele kwa mbele.
Baada ya kutafuna baba yake mtoto hawezi kutusumbua.
Naunga mkono hojaChama langu kubwa, timu kubwa Yanga SC ushindi mbele kwa mbele.
Baada ya kutafuna baba yake mtoto hawezi kutusumbua.
Umeona hasibu la mchongo linatutembezea dislikes? π€£π€£Naunga mkono hoja View attachment 3066541