π€£π€£ Ndio hivyo! hata wawe na kipa kama Oliver Khan au Bartez, wasipokuwa na strategies nzuri! Watafungwa tu.Nimemshangaa sana aisee,sijui kule Morocco alienda kufanya nini plus huu usajili wa wachezaji kutoka America ulikuwa wa maana gani,na kilichonishtua eti wanahitaji kipa kama Diara.
Wewe ni takataka.Hawa Young Africans kipindi cha pili watarudi Jangwani kwa kilio cha kushindwa mechi hii ya Community Shield 2024
Maoteo dakika 90' za mechi inaisha :
Young Africans 3 - 4 Azam FC
Simba si naye alipigwa 5 umesahau mara hii?Hongera yanga, derby ni moja tu yanga & simba. The rest ndio kama hivi
Azam badili kocha
Usitembelee page yake we kamcheki yule kiredio wenu π€£π€£π€£π€£Shida ya Aly Kamwe Page yake itajaa kuinanga Simba..badala afurahi na Utopolo yake..yani atafanya kulinganisha tuu yaniii....anakeraaa
Hii comment niliisema leo Saba mchana!!Hivi Wanajangwani, hivi mnajua kisasi chetu na Azam bado hakijalipwa?
Hawa waliturudisha nyuma sana kwenye CAFCL.
Game iliyofuata ikaishia kwa matuta.
Tunawadai hawa watu ndani ya dakika 90'
Wapigwe kipigo cha Mbwa Koko.
Si ndio hapo eti. π πYule fala wa kutukatia mauno sisi kweli ππ
Na sisi tumemkatikia 4π€£π€£Yule fala wa kutukatia mauno sisi kweli ππ
Walipoteana mapema nadhani formation ya 3-4-3 imewacost....Nimemshangaa sana aisee,sijui kule Morocco alienda kufanya nini plus huu usajili wa wachezaji kutoka America ulikuwa wa maana gani,na kilichonishtua eti wanahitaji kipa kama Diara.
Baada ya ukame wa miaka mi3π€£π€£π€£Hatimaye chama anabeba makombe sasa
Huyo ni Mwananchi,anawakejeli tuu 5imbaWewe ni takataka.
Bora Chama Dube je !?Hatimaye chama anabeba makombe sasa
Unaionaga page ya ahmedShida ya Aly Kamwe Page yake itajaa kuinanga Simba..badala afurahi na Utopolo yake..yani atafanya kulinganisha tuu yaniii....anakeraaa
Kisasi kimelipwaHii comment niliisema leo Saba mchana!!
Afu wananiudhi mimiFei anafarijiwa sana πππ
Alitukosea sana, na huwa inakuwa hivyo mara zote.Yule fala wa kutukatia mauno sisi kweli ππ