Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Bora ungewahi kucheka mapemaSijui niwacheke saizi au tu nisubiri baadaye??
Ila hawa macameraman hawaView attachment 3067304
ππππππ
Naona mpemba moyo wake utakuwa unazungumza mambo mengiπ€View attachment 3067312
Huyo hapo ππ
Kabisa Bora aende huko misri, Morocco au South AfricaFei Toto pale Azam siyo sehemu sahihi kwake haoni Prince Dube kakimbia ataishia kukata viuno na kurembua macho tu kwani CL wanatolewa preliminary tu kama kawaida yao.
Msimu uliopita hamkupata bali mlipewa na KARIA kupitia kwa TATU MALOGOKikubwa Na sisi tulipata Ngao msimu uliopita...
βΊβΊβΊβΊβΊβΊβΊβΊ
Acheze mpira,yy anataka kushindana na YangaNaona mpemba moyo wake utakuwa unazungumza mambo mengiπ€
Kitambi ni marufukuπ€£π€£Nasubiria CAFCL ianze niwe na kitambi
Why between our business he appear inside[emoji23][emoji23][emoji23]Yule fala wa kutukatia mauno sisi kweli [emoji23][emoji23]
Wacha weeeHuyo dogo aende Simba ambako ipo siku atafurahi na kuwadhihaki Yanga kama atakavyo na si hapo Azam.
Simba itaifunga yanga hivi karibuni,ni suala la muda tu
Hiyo ndio asset?Jipeni muda nyinyi makolo chama ni bonge la asset. Umeona Gali la nne
Cc ephen_Huyo dogo aende Simba ambako ipo siku atafurahi na kuwadhihaki Yanga kama atakavyo na si hapo Azam.
Simba itaifunga yanga hivi karibuni,ni suala la muda tu