Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Jiandae kisaikolojia mdg wangu kipenzi...😃Tukutane mwezi wa 10😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kisaikolojia mdg wangu kipenzi...😃Tukutane mwezi wa 10😂
Mechi imeishia hapo, kilichobaki wachague tu wafungwe ngapi..🤣🤣🤣🤣.
Ponea ponea yao wapaki basi
Sio mbali tunza maneno 🤣Tukutane mwezi wa 10😂
Na hajavaa taiti hana maana kabisa fei, japo mashaAllahWale nyingi yule boya alitukatia kiuno sisi
Subiri tuone😒😒😒😒😒Jiandae kisaikolojia mdg wangu kipenzi...😃
Eeeeeeeeeeeeeeeee!🤔Tuseme mpk sasa ni moja moja....
Pole ndugu yangu.Shadeeya umeniponza anko wako Mwasibo OKW BOBAN SUNZU amenipa dislike now bila sababu ya msingi kila tu nimekuQoute.
Lambalamba wapo hoi kabisaBora fainal wangeingia Namungo
Wamefanya vizuri ila Yanga ni kipimo kikubwa kwake. Hawezi atasuffocate vibaya mno akijifanya kujaribu kuleta ubabe kwa YangaAzam hivi wanachokosa ni nini? Usajili mzuri ila ni kama hawaelewani? Tatu za chap na wataongezwa
Lamba lamba wauwawe😅Hawa wafungwe tu.. Feisal kanikera sana shangilia yake
Bro unatamani sana.Na hajavaa taiti hana maana kabisa fei, japo mashaAllah
Si ndo mana wakapigwa 4 - 1 na wydad wanaojitafuta 😅Hivi azam hii ndo inaenda Klabu Bingwa!