Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tuyaweke kwanza pembeni lile la offside na la kujifunga...😃😃😃Eeeeeeeeeeeeeeeee!🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuyaweke kwanza pembeni lile la offside na la kujifunga...😃😃😃Eeeeeeeeeeeeeeeee!🤔
Mlipewa nafasi ya kucheza na sisi mkashindwa kuitumia pyeeeeeFainali ya maana ingekuwa ni Simba na Uto basi, hawa wengine waliobaki ni kukamilisha tu ratiba Uto atangazwe mshindi
Kapare kamoja ivi si unawajua wapare kwa kujitapaIla kale kasemaji kao sijui ka Ibwe kananiboaaa....nampenda fosali ila kale kajamaa ndo kanifanya nishindwe kuamua...😃😃😃😃😃😄😄😃😄kanakashfa kameshajiona timu yao ni real madrid...
Amechanganyikiwa we huogopi ndugu yanguKipa wa Azam mpuuzi hazungumzi na mabeki,watapigiwa mengi Kwa makosa yao
Yaani ufungwe nusu ndio uweze fainali?Fainali ya maana ingekuwa ni Simba na Uto basi, hawa wengine waliobaki ni kukamilisha tu ratiba Uto atangazwe mshindi
Aliyeiba id airudisheLitombo limejitomba.
Bro cheka tu, bandama si unayo......😹😹Sijui niwacheke saizi au tu nisubiri baadaye??
Mmebebwa sana ile mechi ya nusu fainaliYaani ufungwe nusu ndio uweze fainali?
Kanaboaa utani wa Ahmed na Ally hauwezi..wenzie ni mabest friend nje ya hapo...Kapare kamoja ivi si unawajua wapare kwa kujitapa