Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Au sule ni modHalafu mods wanamlindaaa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sule ni modHalafu mods wanamlindaaa😂
Mwacheni mna midomo sana nyie watu..kwani yy haruhusiwi,? 😃😃Au sule ni mod
Kuna harufu ya rushwa JF.Au sule ni mod
aah asinipangie matumiz ya mwili wanguila kiuno kisizidi sentimita 38 kwa mujibu wa Janabi
Awe anaanzisha za kwenu ubwela fcMwacheni mna midomo sana nyie watu..kwani yy haruhusiwi,? 😃😃
kwa yanga hii mniache kwanza😄Nenepa tu ila usinenepe maeneo yote sasa😆
Hata zenu za Magoma Fc sio mbays bana kikubwa matokeo...tu kama ya leoAwe anaanzisha za kwenu ubwela fc
KabisaKocha alifeli kujaribu mfumo wakati unacheza na mkubwa mwenzio.
Ila alichonifurahisha ni uwezo wake wa kuona mapungufu, kayabaini mapungufu na fasta kabadilika, napenda makocha wa namna hii. Raha ya kocha awe mzuri kwenye mbinu
Ana munkari wa kikochaUsikute Aziz ki ndio kocha 🤣🤣🤣
Wamepuliziwa sumu ya vyura...😃😃Azam wanaboa sana
😃😃😃😃 kura raha tu kabla siku za tabu hazijafikakwa yanga hii mniache kwanza😄
Shida ilianza kwenye lile uno la feiWamepuliziwa sumu ya vyura...😃😃