Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Kocha alifeli kujaribu mfumo wakati unacheza na mkubwa mwenzio.

Ila alichonifurahisha ni uwezo wake wa kuona mapungufu, kayabaini mapungufu na fasta kabadilika, napenda makocha wa namna hii. Raha ya kocha awe mzuri kwenye mbinu
Kabisa
 
Back
Top Bottom