Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Kombe lenyewe bayaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tatizo, back then yanga imeshaoga 5 pia kutoka kwa simba. Ndio maana nasema from fan base, maandalizi, pressure nje ya uwanja na ndani ya uwanja, derby ya yanga na simba ndio derby pekee ya hali ya juuSimba si naye alipigwa 5 umesahau mara hii?
Wafanyaje na usipokimbia hupati namba 🤣 kigezo cha kuwa Yanga uwe na mbioYanga hii ya awamu hii ni kama wachezaji wameekewa motor katika miguu yao
🤣🤣🤣🤣🤣Yule fala wa kutukatia mauno sisi kweli 😂😂
Wachezaji huwa wanamkubali sana pamoja na makuzi yakeAfu wananiudhi mimi
Si wamuache
We jamaa ulikufa?😅Kijana
Wachezaji huwa wanamkubali sana pamoja na makuzi yakeAfu wananiudhi mimi
Si wamuache
kumbe kakata mauno? mtoto mayai ya pweza yuleYule fala wa kutukatia mauno sisi kweli 😂😂
Kweli wale ilikuwa wachapwe kama za Simba 5 siku ile. Kuna uwezekano kweli alipunguza dozeGamond anamekuja na tabia ya kuepuka kudharilisha makocha wengine angalia vizuri akishinda anaipunguza team Kasi kidogo
Alikiri game na kaizer
Black kipara, mwaka jana hakuwa na certificate ya kumfanya kocha mkuu...baada ya kuipata sasa ndo kocha mkuuHivi kocha mkuu wa Azam ni Bruno au uyu black kipara dabo?
Huwa Unatafuta nini kwa hiyo page ilhali we ni mwananchi?Unaionaga page ya ahmed
Mchana tu katuchamba 🤣