ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Anategemea kuvuna kura zaoHuyu mama mzima kweli? Unazipa timu zenye wafadhili kila goli 5m. Unaacha kuwawezesha kina Simbu kule Olimpic. Bongo tuna viongozi hopeless
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anategemea kuvuna kura zaoHuyu mama mzima kweli? Unazipa timu zenye wafadhili kila goli 5m. Unaacha kuwawezesha kina Simbu kule Olimpic. Bongo tuna viongozi hopeless
Lakini haianzi raundi za uto, ndio hoja yakeHizo timu ulizotaja ni moja tu ndo ipo SHIRIKISHO
NmekumissSawa bro, nitajiheshimu 😹
Upo lakini huo?Yanga kuna mpira flani hawajaucheza
Nadhan game approachYanga kuna mpira flani hawajaucheza
Nimehamasika unapotaja jina la wanaume. Wataomba maji hawa
We jamaa😂Nimehamasika unapotaja jina la wanaume. Wataomba maji hawa
Walijipeleka wenyewe huko France?? Unaka...twa.Huyu mama mzima kweli? Unazipa timu zenye wafadhili kila goli 5m. Unaacha kuwawezesha kina Simbu kule Olimpic. Bongo tuna viongozi hopeless
Wameingia baridi kidogo.Yanga kuna mpira flani hawajaucheza
Utopolo.akina nani?
Sio kwamba ndio kiwango?Yanga wamezalau Sanaa Hawa Jamaa,ila wanapaswa kuwapiga 4, ndo wacheze kidemu hiviii.
Uto wanacheza kama wametoka jando jana. 🤣🤣🤣Mrundi anashanga shangaa, tayari baooo 😹😹😹 , yanga ni wabad 🔥🔥🔥
Tumvumilie. Halafu huyu mjinga signing fee pamoja na salary amevuna zaidi ya 700M kwa mkataba wa mwaka mmoja tuHuyu chama tumepigwa