Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Ulitegemea 5Dah mbna bado sina furaha
Akitokea Sub ooh wanamtenga...Kuvunja mkataba na chama itaigharimu timu sh ngapi?
Naona ameosha osha kidogo kagoli ka mbabatize styleAkitokea Sub ooh wanamtenga...
Kwani kafanyaje jamani
Hatujakutana bado na vizimba na vigogo akina ahly. Kwa namna tulivyo cheza leo sijapenda kabisaHii Yanga labda aje Manchester City..!βΊοΈ
Baaada kumchambaπππNaona ameosha osha kidogo kagoli ka mbabatize style
Tumecheza kichovu! Unajua ukiwa na mvivu na wewe utakua mvivu tu! Ndio hii ya leoHatujakutana bado na vizimba na vigogo akina ahly. Kwa namna tulivyo cheza leo sijapenda kabisa
Unadhani ndo watacheza hivi??? Athubutu watacheza kama walivyocheza na al ahly na mamelodiHatujakutana bado na vizimba na vigogo akina ahly. Kwa namna tulivyo cheza leo sijapenda kabisa
Kabiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisa ππππ€π€π€πͺπͺπͺπͺπͺ!Hii Yanga labda aje Manchester City..!βΊοΈ