Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

Niamini Mimi Gamondi kashaingia kwenye mfumo wa Chama. Lakini kwa uchezaji huu mkikutana na Waarabu mtakuwa matatani labda kama MTA improve
Waarabu kama CRB
Wabqbe kama Mamelodi au kuna wengine
 
@Q

Kumbe Makolokolo SC na Azam SC ni mafukara ndiyomaana yallichezea kichapo kitakatifu ligi ya ngao ya jamii 2023 &:2024 kwa Yanga SC?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hapa tunaongelea Klabu bingwa sio mambo ya Ngao ya jamii, mbona hata Man city huwa anafungwa na Brentford katika Ligi la Epl,...ila Man city UEFA unakuta hashikiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…