kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Labda droo ya dressing tableAnazungumzia nini kwanza..
Leo naiona droo
Mangungu akiona comments kama hizi anajua uhakika wa kubaki madarakani bado upo sana.Yanga ni timu iliyoanzishwa na Wachawi wakaa uchi wa usiku, Wapuuzi nyie hamtofika mbali Bahasha za kaki zinawabeba tu Pumbavu zenu.
Sasa Simba imeshindwa kumfunga Yanga, je ni nani unayeona wanaiweza Yanga ikiwa nyie wenyewe tu mnasurubiwa kila mkicheza na Yanga.Leo shetani na jini wanacheza mechi... Hakuna jipya ni ndugu hao.
Kama ilivyokuwa jana Juma 3 vs Mgunda 0Utopolo vs Uto